Wakazi wa Kijiji cha Nyamtukuza Kata ya Nyamtukuza kilichopo tarafa ya Nyaronga wameeleza kuwa kukosekana kwa soko kumewasababishia adha mbalimbali ikiwemo kunyeshewa na mvua wanapokuwa wakipata mahitaji yao eneo la soko.
Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilayani Kakonko kupitia program ya TAKURURU rafiki imeanza kutatua kero za Wananchi ikiwemo kero ya maji katika kata tatu za Kanyonza, Gwarama na Nyamtukuza kati ya kata 13 zilizopo.
Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewataka Wasimamizi wa Miradi kusimamia miradi kwa weledi kwa kufuata kanuni na sheria ili kuepuka adha ambazo zinaweza sababishwa na usimamizi hafifu wa miradi.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa