• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Afya

                           

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA IDARA YA AFYA KWA KIPINDI CHA ROBO YA PILI (OKTOBA - DISEMBA) MWAKA 2016/2017.

 

Idara ya Afya imeendelea kutoa huduma mbalimbali za afya kupitia vitengo vyake ambavyo ni pamoja na;

Kitengo cha Afya kinga

Kitengo cha Tiba

Kitengo cha Afya ya Uzazi Baba, Mama na Mtoto

Kitengo cha UKIMWI na Magonjwa ya zinaa.

Kitengo cha Afya ya akili.

Kitengo cha Maabara.                                                                                                                                                                                                                         

Kitengo cha Madawa.

Kitengo cha Kifua kikuu na ukoma

AFYA KINGA

Katika kipindi cha Oktoba - Desemba 2016 hakuna ugonjwa wowote wa mlipuko ulioripotiwa. Hali ya usafi katika vituo vya kutolea huduma ni ya wastani. Aidha ili kuboresha usafi tunawaomba Waheshimiwa Madiwani na wenyeviti wa Vijiji kuendelea kuhamasisha wananchi waweze kupangiana zamu kwa vitongoji ili kushiriki usafi wa mazingira ya vituo vya afya na Zahanati zao hapa Wilayani.

TIBA

Ugonjwa wa malaria bado umeendelea kuwa na wagonjwa wengi miongoni mwa wagonjwa waliohudhuria katika vituo vya huduma wilayani ukifuatiwa na magonjwa ya maambukizi njia ya mkojo (Urinary Tract infections) kama inavyoonekana katika jedwali;

Magonjwa kumi yanayoongoza Wilayani;

Na
Ugonjwa
Idadi ya wagonjwa



1
Malaria
7,985

2
Maambukizi njia ya mkojo
2,400

3
Magonjwa njia ya hewa juu
2,399

4
Kichomi
1,519

5
Magonjwa ya minyoo
1,209

6
Magonjwa ya tumbo
542

7
Magonjwa ya dharura
492

8
Magonjwa ya macho
222

9
Kutoboka meno
107

10
Upungufu wa damu
51

AFYA YA UZAZI

MAHUDHURIO YA WAJAWAZITO

Kama inayoonekana katika jedwali hapa chini ni 24% tu ya wajawazito walimaliza mahudhurio manne kama inayotakiwa na Wizara ya afya. Sababu kubwa ni wengi wao kuja kliniki kwa kuchelewa wakiwa na mimba zenye umri mkubwa.

MIKOA/        HALMASHAURI
WAJAWAZITO
WATEJA WA MARUDIO
IDADI YA WAJAWAZITO WALIOKAMILISHA MAHUDHURIO MANNE AU ZAIDI
 
WALIOTEGEMEWA
HUDHURIA
IDADI
ASILIMIA
KAKONKO
1184
1123
1699
268
24
 
 
 
 
 
 

IDADI YA WATEJA WALIOFANYIWA UCHUNGUZI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI (VIA)

HALMASHAURI
HIV+
HIV-
HAIJULIKANI
JUMLA
IDADI
%
IDADI
%
IDADI
%
IDADI
%









KAKONKO
0
0
16
 0 
0
0
16
0

Waliokutwa na viashiria vya saratani ya kizazi ni 0.

 

 

VIFO VYA WAJAWAZITO

Katika kipindi cha Oktoba - Desemba 2016 kulikuwa na kifo kimoja cha mama mzazi (1 maternal death) ambacho kilitokana na kuchanika mfuko wa uzazi (Ruptured uterus).

CHANJO KWA WATOTO

MIKOA/HALMASHAURI
IDADI YA WATOTO WALENGWA
PENTA 1
PENTA 3
PCV13-1
 
WAZALIWA HAI
MIEZI 0-11
IDADI
%
IDADI
%
IDADI
%
 
 
 
 
 
 
 
 
 
KAKONKO
2460
7445
3080
85
3502
94
3080
85
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 










Kiwango cha chanjo kwa watoto hupimwa kwa chanjo ya tatu ya Pentavalent (PENTA-3). Katika kipindi cha Oktoba - Desemba 2016 waliochanjwa ni 94%.

IDADI YA WATOTO CHINI YA MIAKA MITANO WALIOFARIKI NA VISABABISHI

HALMASHAURI
KUHARA
MAAMBUKIZI YA KOO
MALARIA
KIFUA KIKUU
UTAPIAMLO
UPUNGUFU WA DAMU
AJALI
PUMU
JUMLA YA VIFO










KAKONKO
3
1
5
0
2
4
0
0
15
 
 
 
 
 
 
 
 
 











 

 

HUDUMA ZA UKIMWI

Katika kipindi cha Oktoba - Decsemba 2016 jumla ya wateja waliopima na kupata ushauri nasaha kwenye Vituo vya huduma ya afya ni 1880. Kati yao, waliokutwa na VVU ni 69 sawa na asilimia 3.6% .Kati ya waliokutwa na maabukizi ya VVU wanaume walikuwa 28 na wanawake 41.

Wateja waishio na VVU 483 wamehudumiwa hapa wilayani ambapo kati yao 379 wanatumia dawa za kupunguza makali ya VVU (ARV) na bado 104 hawajawa na vigezo vya kuanza dawa za ARV.

Vituo vinne hutoa huduma ya VVU (CTC) navyo ni Vituo vya afya vya Kakonko, Nyanzige, Gwanumpu na Zahanati ya Kasanda. Ziara 12 za Huduma mkoba za wateja waishio na VVU zimefanyika kwa wateja waishio mbali na Vituo vya huduma katika maeneo ya Nyagwijima, Bukirilo, Muhange, Mtendeli and Nyabibuye.

DAWA NA VIFAA TIBA

Katika kipindi cha Oktoba - Desemba 2016, hali ya upatikanaji wa dawa na vifaatiba imekuwa ya kuridhisha na hasa dawa za tiba ya malaria baada ya kununuliwa kiasi cha kutosha.

MIRADI YA AFYA

Mradi wa ujenzi wa wodi ya wanawake na wanaume pamoja na maabara moja katika Kituo cha afya Nyanzige unaendelea ambapo umefikia Zaidi ya 85% ili ukamilike.

Utekelezaji wa shughuli/miradi ya BRN pia unaendelea katika vituo 20, na katika vituo vyote utekelezaji huo uko Zaidi ya 85%. Isipokuwa kwa vituo vya Kinonko na Kasuga.

MIUNDOMBINU YA USAFIRI

Katika kipindi cha Oktoba - Desemba idara imefanikiwa kufanyia matengenezo ambulance gari DFP 3157 na kulipeleka kituo cha Afya Gwanumpu na kufanya vituo vyote 3 vya afya wilayani kuwa na magari.

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa