• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Elimu ya Sekondari

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA DIVISION YA ELIMU SEKONDARI 

 

1.UTANGULIZI

Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko ina jumla ya shule 19, kati ya hizo 15 ni za Serikali na 4 zisizo za Serikali zenye jumla ya wanafunzi 8004 kati ya hao wavulana ni 4219 na wasichana 3785, kuna shule moja tu ya serikali yenye kidato cha kwanza hadi cha sita ambayo ni Kakonko sekondari. Taarifa hii inahusisha Ujenzi wa miundombinu ya shule, Ukusunyaji wa Takwimu kwenye Madodoso ya TSS (Takwimu Shule za Sekondari), maandalizi ya michezo ya UMISSETA, maandalizi ya mitihani ya UTAMILIFU na maandalizi ya kuwapokea watumishi wa ajira ya walimu wapya.

2. Utekelezaji wa Ukamilishaji wa maabara, na vyumba vya madarasa

2.1 Ukamilishaji wa vyumba vya madarasa kwa kutumia nguvu za wananchi na fedha za mfuko wa Jimbo

Halmashauri kwa kushirikiana na Ofisi ya Mbunge na wananchi inaendelea kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia kwa kukamilisha vyumba vya madarasa kwa shule za sekondari za Mugunzu na Rugenge ili kupungunza msongamano wa wanafunzi darasani. Vyumba hivyo vimefikiwa hatua mbalimbali kama ifuatavyo:-

Jedwali Na 1: Hali ya ukamilishaji wa vyumba vya madarasa

Na
Kata
Jina la Shule
Idadi ya vyumba vya madarasa
Gharama iliyotumika mpaka sasa
Hatua ya ujenzi
Maoni
1.
Mugunzu
Mugunzu

1

4,034,625

boma liko kwenye hatua ya ukamilishaji
Fedha zimekwisha
2.
Rugenge
Rugenge

2

3,500,000

Maboma yameezekwa
Fedha zikwisha

 

2.2 Ujenzi wa shule mpya ya Katanga kwa kutumia fedha za SEQUIP

Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya ufundishaji kwa kujenga shule mpya ya Katanga kwa kutumia fedha ya progamu ya kuboresha elimu (SEQUIP) kwa ajili ya kuondoa msonamano wa wanafunzi darasani na kupunguza umbali wa wanafunzi kutembea kufuata shule. Mwaka wa fedha 2021/2022 mnamo mwezi Novemba 2021 Halmashauri ilipokea kiasi Tsh. 4700,000,000.00 kwa ajilia ya kujenga majengo yafuatayo; Jengo la utawala, vyumba 3 vya maabara, vyumba 8 vya madarasa, maktaba, jengo la TEHAMA na matundu 20 ya vyoo.

Jedwali na 2: Hatua za ujenzi wa shule mpya Katanga

NA

KATA

SHULE

AINA YA JENGO

IDADI YA VYUMBA

HATUA

1.
KATANGA
KATANGA

Utawala

1

Upauaji

Madarasa

8

Upauaji

Maabara

3

Upauaji
Maktaba

1

Lenta

TEHAMA

1

Boma limekamilika.

Vyoo

Matundu 20

Ujenzi wa boma

 

Mfumo wa maji

6

Maji yamefikishwa site, matanki hayajasimikwa.

2.3 Umaliziaji wa vyumba 5 vya maabara 

Serikali imeendelea kuboresha mazingira ya ufundishaji kwa kuboresha maabara za sayansi. Mwaka wa fedha 2021/2022 mnamo mwezi Februari 2022 Halmashauri ilipokea kiasi Tsh. 150,000,000.00 kama jedwali lilivyobainishwa hapa chini:

Jedwali na 3. Umaliziaji wa vyumba vya maabara

NA
KATA
SHULE
IDADI YA VYUMBA
KIASI
MAELEZO
1.
Mugunzu
Mugunzu

1

30,000,000
Ujenzi umekamilika
2.
Gwanumpu
Gwanumpu

1

30,000,000
Ujenzi umakamilika
3
Rugenge
Rugenge

1

30,000,000
Ujenzi umekamilika
4
Gwarama
Muhange

1

30,000,000
Ujenzi umekamilika
5
Nyamtukuza
Nyamtukuza

1

30,000,000
Ujenzi umekamilika
JUMLA

5

150,000,000
 

 

3. Ukusunyaji wa Takwimu kwenye Madodoso ya TSS (Takwimu Shule za Sekondari) 

Ukusanyaji wa Takwimu kwa kutumia madodoso ya Takwimu Shule za Sekondari (TSS) ulianza kufanyika kuanzia tarehe 31.3.2022 katika Ngazi za Halmashauri, zoezi hili huhusisha sensa ya rasilimali vitu na watu walioko katika shule zote za sekondari. Zoezi hili limefanyika kwa kushirikisha wakuu wa shule, Maafisa Elimu Kata, Afisa Elimu Sekondari. Ofisi ya mipango kitengo cha takwimu pamoja na Afisa Tehama Wilaya. Takwimu na taarifa zote za shule za serikali na binafsi zimeingizwa kwenye Madadoso ya “Takwimu Shule za Sekondari” (TSS) na kwenye mfumo wa “Annual School Census” (ASC) unaosimamiwa na OR-TAMISEMI.

4. Ufanyikaji wa mtihani wa Taifa wa Kidato cha 6 Mei, 2022

Wilaya kupitia Kamati ya mtihani ya Wilaya imesimamia ufanyikaji wa mtihani wa Taifa wa kidato cha 6 mnamo mwezi mei, 2022 katika shule yenye kidato cha 5 na 6 ya Kakonko Sekondari kama jedwali linavyoonesha hapa chini:-

Jedwali na 4. Idadi ya watahiniwa

WALIOSAJILIWA
WALIOFANYA
WASIOFANYA
% YA WALIOFANYA
% YA WASIOFANYA
WV
WS
JML
WV
WS
JML
WV
WS
JML

100

-

142
72
214
142
72
214
0
0
0

5. Ufanyikaji wa mtihani Utimilifu (Mock) wa Mkoa mwezi Mei, 2021

Wilaya kupitia Uongozi wa Elimu Mkoa na Wilaya imesimamia ufanyikaji wa mtihani wa Mtihani wa mock mkoa mnamo mwezi mei, 2022 katika shule zote za Sekondari za mkoa wa Kigoma. Waliofanya Kakonko sekondari ni kama jedwali linavyoonesha hapa chini:-

Jedwali na.5 Idadi ya wanatahiniwa wa mtihani wa Taifa kidato cha 6

WALIOSAJILIWA
WALIOFANYA
WASIOFANYA
% YA WALIOFANYA
% YA WASIOFANYA
wv
ws
jml
wv
ws
jml
wv
ws
jml
100
-
142
72
214
142
72
214
0
0
0

9. Changamoto na Mikakakati 

9.1 Changamoto

Idara imeendelea kukabiliana na changamoto zifuatazo:

  • Tatizo la utoro wa wanafunzi wa rejareja na wa kudumu katika shule za sekondari zinazomilikwa na serikali.
  •  Baadhi ya wazazi kutochangia chakula cha mchana kwa ajili ya wanafunzi wawapo shuleni.

9.2 Mikakati

Idara inaendelea kusimamia mikakati ya kupunguza au kuondoa changamoto kama ifuatavyo;

  • Kuhimiza uongozi wa shule, vijiji na kata kudhibiti suala la utoro wa wanafunzi.
  • Kuhimiza uongozi wa shule, vijiji na kata kuhamasisha na kusimamia uchangiaji wa chakula cha wanafunzi shuleni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa