• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MDAHALO WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA WAFANYIKA KAKONKO KWA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA UNICEF.

Imetumwa: July 30th, 2025

Idara ya Maendeleo ya Jamii kwa kushirikiana na Shirika la UNICEF imeandaa mdahalo maalum uliolenga kujadili masuala mbalimbali ya kupinga ukatili dhidi ya wanawake na watoto, lengo kuu ikiwa ni  kuwaunganisha wawakilishi wa makundi mbalimbali yanayopinga ukatili wa kijinsia, kwa ajili ya kuweka mikakati ya pamoja ya kutokomeza ukatili huo katika ngazi zote za jamii.

Mdahalo huu umefanyika Jumanne, Julai 29, 2025, katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko.

Akizungumza wakati wa mdahalo huo, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Ndg. Stephen Mabuga, alieleza kuwa wamefanikiwa kuweka mikakati thabiti ya kutoa elimu kwa jamii kuhusu namna ya kuzuia na kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia na kutoa wito kwa washiriki kuwa mabalozi wa kueneza elimu hiyo katika maeneo yao, na kuripoti mapema dalili zozote za ukatili dhidi ya wanawake na watoto.

Kwa upande wake, Bi. Modesia Selesius, Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Kata ya Rugenge, alisisitiza umuhimu wa kuwajengea wananchi uwezo na kuondoa hofu ili wawe tayari kutoa taarifa za vitendo vya ukatili na kuhimiza ushirikiano kati ya wananchi na serikali katika mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia.

Mwakilishi wa Kikundi cha Bodaboda kutoka Kijiji cha Kiyobera, Bw. Adam Sabuholo, ameahidi kuwaelimisha wenzake na jamii kwa ujumla kuhusu umuhimu wa kutoa taarifa na kushirikiana na serikali huku akiiomba Serikali kuendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa elimu endelevu kuhusu viashiria vya ukatili na umuhimu wa kutoa ushahidi katika kesi zinazohusiana na ukatili huo.

Mdahalo huo umehudhuriwa na makundi mbalimbali ikiwemo viongozi wa dini, wawakilishi wa mabaraza ya watoto shuleni, makundi ya vijana, bodaboda pamoja na viongozi wa malezi chanya ambapo washiriki walikubaliana kuwa, ushirikiano wa pamoja ni silaha muhimu katika kutokomeza ukatili wa kijinsia na kujenga jamii salama na yenye ustawi chanya katika Wilaya ya Kakonko.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO June 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II June 23, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II. June 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - WAKUSANYA MAPATO 26 June 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MDAHALO WA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA WAFANYIKA KAKONKO KWA USHIRIKIANO WA SERIKALI NA UNICEF.

    July 30, 2025
  • BONANZA LA WATUMISHI KAKONKO DC, KIBONDO DC NA MULEBA DC LAFUNGULIWA RASMI.

    July 26, 2025
  • WANAFUNZI NA WAZAZI WAPATIWA MAFUNZO ILI KUPINGANA NA UKATILI DHIDI YA WATOTO.

    July 24, 2025
  • WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

    June 04, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa