• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Elimu Msingi

TAARIFA YA SHUGHULI ZA UTEKELEZAJI ZA DIVISION  YA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 


i. Kuratibu na kusimamia shughuli za michezo ya UMITASHUMTA kwenye ngazi ya Shule na Kata.

Michezo iliyoshindanishwa ni Mpira wa miguu, Mpira wa pete, Mpira wa wavu, Riadha, (Wenye Mahitaji Maalum) na Kwaya. Michezo hiyo ilifanyika kama ilivyokusudiwa na washiriki wenye ubora waliojitokeza walichaguliwa na kuunda timu ya Kanda kwenye maeneo yao. Pia, wanamichezo waliochaguliwa kutoka ngazi ya Kanda waliunda timu ya Halmashauri. Aidha, Michezo ngazi ya Kanda na Kambi ya timu ya Halmashauri vilikusudiwa kuanza mapema mwezi Julai na kambi ya wilaya ilipangwa kuwa Shule ya Msingi Itumbiko kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ngazi ya Mkoa.i. Kuratibu na kusimamia shughuli za michezo ya UMITASHUMTA kwenye ngazi ya Shule na Kata. Michezo iliyoshindanishwa ni Mpira wa miguu, Mpira wa pete, Mpira wa wavu, Riadha, (Wenye Mahitaji Maalum) na Kwaya. Michezo hiyo ilifanyika kama ilivyokusudiwa na washiriki wenye ubora waliojitokeza walichaguliwa na kuunda timu ya Kanda kwenye maeneo yao. Pia, wanamichezo waliochaguliwa kutoka ngazi ya Kanda waliunda timu ya Halmashauri. Aidha, Michezo ngazi ya Kanda na Kambi ya timu ya Halmashauri vilikusudiwa kuanza mapema mwezi Julai na kambi ya wilaya ilipangwa kuwa Shule ya Msingi Itumbiko kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ngazi ya Mkoa.

ii. Kuhesabu vifaa na mali za Halmashauri kwenye Shule zote na Makao Makuu ya Halmashauri kufikia Juni 30, 2022. 

iii. Kufanya maandalizi ya Mtihani wa MOCK Mkoa uliotarajiwa kufanyika mwezi Julai 2022.

Hii ilienda sambamba na uhimizaji wa utoaji wa michango toka shuleni, kupokea risiti za michango hiyo, kuandaa orodha ya wasimamizi watarajiwa na kuwasiliana na uongozi wa Mkoa kwa maelekezo mbalimbali. Watahiniwa 4,925 ikiwa (Wav. 2,384, Was. 2,541) wa Shule za Msingi 60 kati ya 66 za Serikali walitarajiwa kufanya Mtihani huo.

iv. Kujaza na kuingiza Takwimu za wanafunzi na Miundombinu kwenye Mfumo wa ASC (Annual School Censu) maarufu kama Sensa Elimu Msingi. 

Fomu za madodoso ya TSM, TSA na TWM zilihusika. Zoezi hilo huanzia ngazi ya Mtakwimu wa Shule, Mwalimu Mkuu, Afisa Elimu Kata, Afisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Halmashauri na Afisa Elimu wa Wilaya.

v. Kuendelea kupitia na kurekebisha dosari zilizobainika wakati wa uingizaji wa takwimu kwenye mfumo wa Sensa Elimu Msingi na kufanya mawasiliano ya mara kwa mara na Watakwimu wanaosimamia Mkoa wetu walioko OR – TAMISEMI.

vi. Kupokea vifaa mbalimbali kwa ajili ya wanafunzi wenye Mahitji Maalum kwenye Bweni letu lililoko shule ya msingi Itumbiko.

 Vifaa vilivyopokelewa kutoka kwa wadau washirika ni kama inavyoonesha kwenye jedwali hili:

NA
JINA LA MDAU
AINA YA KIFAA
IDADI
1.
Help Age International
-Magodoro
-Vyandarua
-Blanketi
80
80
80
2.
Save the Children
-Magodoro
-Vyandarua
-Tenki (1000 Lt)
-Ndoo
30
80
01
40

vii. Kufanya kikao na Wasimamizi wa Elimu ngazi ya Shule na Kata kwa lengo la kuhimiza usimamizi na utoaji wa Taaluma shuleni. 

Kubaini vikwazo na changamoto zinazokabili utekelezaji wake na namna ya kuzitatua kwa kushirikiana na wadau mbalimbali.

viii. Divisheni ilipokea miche ya miti kutoka kwa wadau wawili ambao ni Maliasili na Serikali za vijiji husika na kuzigawa kwenye shule zake kwa lengo la kutunza mazingira kama inavyoonesha kwenye jedwali lifuatalo:



NA
JINA LA SHULE
IDADI YA MICHE
MHUSIKA
1.
Kinonko
500
Maliasili
2.
Kasongati
30
Maliasili
3.
Luhuru
430
Maliasili 30, Serikali ya Kijiji 400.
4.
Kagondo
250
Maliasili
5.
Kasuga
600
Serikali ya kijiji
6.
Katahokwa
250
Serikali ya Kijiji
7.
Kazilamihunda
2000
Serikali ya Kijiji

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa