• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Usafishaji Na Mazingira

Kitengo kimejikita hasa kwenye Eneo Moja lenye Sehemu Tano,

  • Ukaguzi, Uhamasishaji na utoaji Elimu ya Afya kwa Jamii pamoja na utekelezaji wake.
  • Usafi wa mazingira,
  • Ukaguzi Maeneo ya Migodi ya Madini,
  • Kunawa mikono,
  • Ukaguzi wa Nyumba za Biashara na
  • Uhifadhi wa Mazingira.

UTEKELEZAJI.

1.  USAFI WA MAZINGIRA NA UKAGUZI WA NYUMBA ZA BIASHARA.

Kazi ya ukaguzi wa Nyumba za kuishi, imefanyika kwa kushirikiana na Maafisa watendaji kata, vijiji pamoja maafisa Afya, ili jamii iishi katika mazingira yaliyo safi na salama.

Katika ukaguzi huo, wakuu wa kaya wamehamasishwa kutunza mazingira yao kwa kuyaweka katika hali Safi muda wote, sambamba na kuzingatia usafi Binafsi.

Wananchi Wote waliopatikana na Adha au Chukizo walipewa Ushauri wa Kiafya, ili kuondoa Machukizo yaliokutwa.

Aidha, ukaguzi huo umehamasisha wafanyabiashara wa soko kuu la Kakonko, kuendelea kutumia Meza kwa ajili ya kuuza Bidhaa zao zikiwa juu, badala ya kuuzia chini, ambapo utekelezaji unaendelea kudumishwa  kwa wafanyabiashara wote, Sambamba na kuhimiza wafanyabiashara wote na wananchi kwa ujumla wanao tumia soko hilo, kutunza huduma ya chanzo cha Maji (GATI) lililowekwa na Mamlaka ya Maji (RUWASA) Kakonko, kwa lengo la kuboresha Afya ya Jamii, ili kujikinga na Magonjwa yatokanayo na utumiaji wa Maji YASIO SAFI NA SALAMA. Mfano Kipindupindi, Homa ya Matumbo, Kuhara au Kuhara Damu na Magonjwa mengine kama hayo.

TAKWIMU YA UKAGUZI NA USAFI WA MAZINGIRA NGAZI YA KAYA

Na.
WALIO KAGULIWA
ILANI TOLEWA
ILANI TEKELEZWA
ILANI BILA TEKELEZWA
HATUA CHUKULIWA
1

216

(NYUMBA ZA KUISHI)

19

14

5

Ilani ya siku 14 imetolewa
2

21

(NYUMBA ZA BIASHARA)
32

30

2

Nyumba mbili za Biashara zimepewa Iani ya Maandishi, siku 21 kufanya marekebisho
  • UHAMASISHAJI WA HUDUMA YA TAKA NGUMU

Kitengo cha Usafi na Mazingira kimehamasisha wananchi, Wafanya Biashara, Viongozi wa Kata, Vijiji na Vitongoji (Zoezi hili limefanyika Kata ya Kakonko) kutambua umuhimu wa kutunza Taka ngumu, kuweka Mji wetu katika hali Safi na Mandhari ya Kupendeza. kufuatia uhamasishaji huo wananchi.

Aidha, zoezi la uzoaji Taka linaendelea ndani ya robo hii ya Nne, 2021/2022 kwa kuwatangazia wananchi, wafanyabiashara na Taasisi mbalimbali ili kutambua Ratiba ya Ukusanyaji wa Taka kwenye Vitongoji.

  •  Ukaguzi Maeneo ya Migodi ya Madini,
  • Ukaguzi huu umefanyika katika Maeneo Mawili,
  • Eneo linalo tumiwa na wananchi ambao wanatumia zana duni za uchimbaji Madini ya Dhahabu,
  • Eneo la Mwekezaji (XANFON) ambalo linatarajiwa kuwekwa Mtambo maalum wa kusafisha Madini ya Dhahabu, inayo chimbwa Nyamtukuza – Nyamwironge.  
  • Ukaguzi huu, umefanyika kwa kuambatana na Mweneyekiti na Makumu Mwenyekiti wa Wachimbaji wadogo wadogo wa Madini ya Dhahabu na wawakilishi wawili wa mmiliki kwenye Eneo (XANFON).
  • Machukizo ya Kiafya na Kimazingira yamebainika, ambapo yanaweza kusababisha Kero au Adha ya Kiafya dhidi ya watumiaji kwa Mujibu wa sheria namba 20 ya Usimamizi wa Mazingira ya Mwaka 2004 pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2005, Sheria ya Afya ya Jamii Na, 1 ya Mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2012.
  • Uongozi na Wachimbaji wa Madini ya Dhahabu, wamepewa Maelekezo ya kiafya na kimazingira kuhakikisha wanafanya shughuli za uchimbaji Madini bila kuchafua Mazingira na kuzingatia katazo la kisheria la kutofanya shughuli yoyote ya Kibinaadamu ndani ya Mita 60 kutoka kwenye chanzo cha Maji, Kama sheria tajwa hapo juu inavyo elekeza.
  • KUNAWA MIKONO 

Wananchi wanahamasishwa kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni (Kibuyu Chirizi) baada ya kutoka chooni na kabla ya kuanza kufanya shughuli yoyote ya kijamii.

Elimu hii hutolewa wakati wa ukaguzi wa nyumba za kuishi kwenye jamii kwa kushirikiana na watendaji Kata, Vijiji na wenyeviti wa Vitongoji, wakiongozwa na Timu ya Maafisa Afya.

Maeneo yaliopewa kipaumbele ni wafanyabiashara na ngazi ya jamii.

  • USALAMA WA VYAKULA NA BIDHAA MBALIMBALI.
  • Kitengo cha Usafi na Mazingira imeendelea kutekeleza shughuli zake kwa Robo hii ya Tatu, kwa kufanya Ukaguzi kwenye maduka ya Vyakula na Kuelimisha wananchi na wafanya biashara, kuwa waangalifu katika ununuzi na ulaji vyakula vilivyo pitwa na muda wa matumizi kwa lengo la kuendelea kuimarisha Afya kwa Mlaji, lakini pia kuepuka Madhara yanayoweza kutokea.
  • Katika zoezi hili, vinywaji vilivyokutwa vimeharibika/vimepita muda wake wa kutumika katika robo ya pili, tayari vimeteketezwa chini ya uangalizi wa Maafisa AFYA, Mtendaji kata na Askari mgambo kwa mujibu wa sheria.
  • Aidha, kufuatia zoezi hilo la ukaguzi wa nyumba za Biashara, hakuna vyakula vilivyo kutwa vimepita muda wake wa kutumika au Kuharibika kwa namna yoyote.
  • Hii, ni dhahiri ya kwamba Elimu inayo tolewa kuhusu Usalama wa Chakula kwa wafanyabiashara na Mlaji, inazingatiwa.
  •  
  • UHIFADHI WA MAZINGIRA NA VYANZO VYA MAJI.

Shughuli iliyotekelezwa ni kuhakikisha vyanzo vya maji vinatunzwa kwa mujibu wa sheria ya Usimamizi wa Mazingira Na. 20 ya 2004 pamoja na Marekebisho yake ya Mwaka 2005, Sheria ya Afya ya Jamii namba 1 ya mwaka 2009 pamoja na marekebisho yake ya mwaka 2012.

 Ili kuhakikisha vyanzo vya maji vinatunzwa vizuri na kafanya maji yapatikane kwa wingi, ili kuendelea kujikinga na Magonjwa mbalimbali yanayoweza kuenezwa kwa kukosa huduma ya Maji ya kutosha na yalio safi na salama na kutunza vyanzo hivyo kuwa na Tija Mazingira na Vizazi vijavyo.

  • Kata ziliyo tembelewa ni Kakonko na Nyamtukuza.

Pia Jamii kwa ujumla, wamepewa elimu ya kutibu maji kwa kutumia njia mbalimbali mfano:-

  • kuchemsha au kutumia water guard, ambayo ina patikana kwenye umbile la Vidonge, Chengachenga au maji maji.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa