• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi na Zimamoto


Division inasimamia ujenzi unaoendelea wa jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, ujenzi wa Stendi kuu ya mabasi Kakonko, ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kakonko, ujenzi wa Kituo cha Afya Nyakiyobe, ujenzi wa Jengo la Wazazi Gwarama, ujenzi wa Zahanati ya Njoomlole, ujenzi wa Zahanati ya Kihomoka. Ukarabati wa Zahanati ya Rumashi na ukamilishaji wa Zahanati za Luhuru na Rusenga. Kusimamia ujenzi wa vyoo katika zahanati za Kasongati, Nyamtukuza, Kiga, Bukiliro, Kabingo na Rumashi. Kusimamia ujenzi wa miundombinu ya vyumba vya madarasa, maabara, maktaba, jengo la utawala, jengo la tehama na vyoo vya wanafunzi Shule ya Sekondari ya Katanga kupitia mpango wa SEQUIP. Ukamilishaji wa maabara 5 Elimu Sekondari (Mugunzu, Rugenge, Nyamtukuza, Gwanumpu na Muhange), kusimamia ujenzi wa nyumba mbili za wakuu wa Idara. Kusimamia karakana ya kufyatua tofali iliyopo Shule ya wasichana Kakonko kata ya Kanyonza, kusimamia mitambo na magari ya Halmashauri.

TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA KIPINDI CHA APRILI – JUNI, 2022 

Na.

JINA LA MRADI

LENGO

UTEKELEZAJI

MAELEZO

CHANZO CHA FEDHA

% YA UTEKELEZAJI

1.

Kusimamia ujenzi wa jengo la utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko
Kuimarisha na kuboresha mazingira ya kazi.
Ujenzi umegawanywa katika majengo 4, majengo 2 ya mwanzo yanaendelea na kazi za umaliziaji isipokuwa eneo la mapokezi wanakamilisha bati, jengo 3 limekamilika kuweka bati, papi za dari, grili, fremu za milango na lipu;  lingine la mwisho linaendelea kukamilishwa bati, grili za madirisha, fremu za milango na lipu. Kazi ya ujenzi inafanyika kwa njia ya Force Account.
Mradi unaendelea vizuri
Serikali kuu

68%

2.

Kusimamia ujenzi wa Stendi kuu ya mabasi Kakonko
Kutoa huduma na kuongeza mapato ya Halmashauri
Kazi ya ujenzi inaendelea vizuri.
Kazi hii inatekelezwa na  Mkandarasi mjenzi  SUGWA CONSTRUCTION LTD JV CHIGANDA CONSTRUCTION LTD na Mkandarasi mshauri TBA (Tanzania Building Agency).

Serikali kuu

67%

3.

Kusimamia ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Kakonko
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi ya ujenzi wa jengo la wazazi, wagonjwa wa nje, Maabara Mionzi, Stoo ya dawa, jengo la utawala na jengo la kufulia zipo hatua ya umaliziaji. Kazi ya jengo la EMD limekamilika boma na bati baadhi ya maeneo. Jengo la  kuishi waganga familia tatu limekamilika hatua ya bati.
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account

Serikali kuu

89%

4.

Kusimamia ujenzi wa Kituo cha Afya Nyakiyobe
Kuimarisha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi ya ujenzi wa maabara imepauliwa na wanaendelea kuweka grili za madirisha na fremu za milango na Kazi ya ujenzi wa OPD ipo hatua ya kusuka kenchi.
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account  

Serikali kuu

58%

5.

Kusimamia ujenzi wa Jengo la Wazazi Gwarama
Kuimarisha na kuboresha huduma za afya.
Kazi ya ujenzi ipo katika hatua ya ukamilishaji wa dari, kufunga milango na skimingi.
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account

UNFPA

87%

6.

Kusimamia ujenzi wa Zahanati ya Njoomlole
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi ya ujenzi ipo katika hatua ya kufunga milango, kuweka dari na marumaru.
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account

Mapato ya ndani

89%

7.

Kusimamia ujenzi wa Zahanati ya Kihomoka
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi ya ujenzi ipo katika hatua ya kufunga milango, kuweka dari na marumaru..
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account

Mapato ya ndani

92%

8.

Ukarabati wa Zahanati ya Rumashi
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi ipo hatua ya ukarabati
Kazi imepangwa kutekelezwa kwa njia ya force account

Serikali kuu

52%

9.

Ukamilishaji wa Zahanati ya Luhuru
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi zipo hatua ya ukamilishaji wa boma
Kazi imepangwa kutekelezwa kwa njia ya force account

Serikali kuu

35%

10.

Ukamilishaji wa Zahanati ya Rusenga
Kuboresha na kusogeza huduma za afya kwa jamii.
Kazi zipo hatua ya ukamilishaji wa boma
Kazi imepangwa kutekelezwa kwa njia ya force account

Serikali kuu

37%

11.

Kusimamia ujenzi wa vyoo katika zahanati za Kasongati, Nyamtukuza, Kiga, Bukiliro, Kabingo na Rumashi
Kuboresha mazingira ya kazi.
Kazi zipo katika hatua za ukamilishaji wa majengo na mashimo ya vyoo
Kazi hii inatekelezwa kwa Force Account

Ufadhili wa World Bank

80%

12.

Kusimamia ujenzi wa miundombinu ya vyumba vya madarasa, maabara, maktaba, jengo la utawala, jengo la tehama na vyoo vya wanafunzi Shule ya Sekondari ya Katanga kupitia mpango wa SEQUIP
Kusogeza karibu huduma ya upatikanaji elimu kwa jamii.
Kazi zipo hatua; Madarasa manne yamekamilika boma; madarasa  manne, maabara tatu, jengo la Tehama, jengo la utawala na maktaba wima wa lenta; choo matundu kumi yamekamilika msingi na mashimo; choo matundu kumi wamechimba msingi wa boma na ujenzi wa mashimo.
Kazi inatekelezwa kwa njia ya Force Account

Serikali kuu

43%

13.

Ukamilishaji wa maabara 5 Elimu Sekondari (Mugunzu, Rugenge, Nyamtukuza, Gwanumpu na Muhange)
Kuboresha mazingira ya upatikanaji elimu
Kazi za ukarabati zinaendelea katika hatua mbalimbali
Kazi inatekelezwa kwa njia ya Force Account

Serikali kuu

67%

14.

Kusimamia ujenzi wa nyumba mbili za wakuu wa Idara
Kuboresha maisha ya watumishi
Kazi ya nyumba moja ipo hatua ya ukamilishaji wa boma baada ya lenta na nyingine ipo hatua ya ujenzi wa msingi
Kazi inatekelezwa kwa njia ya Force Account

Serikali kuu

41%

15.

Kusimamia ujenzi wa miundombinu wa vyumba vya madarasa, vyoo vya wanafunzi na waalimu na ujenzi wa bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu kupitia mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO - 19.
Kuimarisha na kuboresha mazingira ya kutolea elimu.
Kazi za ujenzi wa madarasa 46  vyoo, ofisi za waalimu na bweni la wenye mahitaji maalum zipo katika muda wa uangalizi
Kazi hii ilitekelezwa kwa Force Account  

Serikali kuu

100%

16.

Kusimamia karakana ya kufyatua tofali iliyopo Shule ya wasichana Kakonko kata ya Kanyonza
Kuwa na uhakika wa upatikanaji wa vifaa bora vya ujenzi na kuongeza kipato kwa Haimashauri
Kazi ya ufyatuaji matofali inaendelea vizuri
Kazi inatekelezwa na vibarua na fundi wa mkataba chini ya usimamizi wa Afisa mtendaji kata ya Kanyonza na Technician kutoka ofisi ya Mhandisi

Mkurugenzi

100%

17.

Kusimamia mitambo na magari ya Halmashauri
Kuboresha miundombinu ya utendaji kazi za Halmashauri
Kukagua na kutathmini uharibifu na matengenezo yanayo hitajika katika gari au mtambo
Kazi hutekelezwa kwa kufanya tathmini kupitia mafundi wa nje

Mkurugenzi

100%









UFUATILIAJI NA KUANDAA TATHMINI YA UKARABATI WA MAJENGO YA SERIKALI NA MIUNDOMBINU YAKE



Kuandaa tathmini ya ujenzi, uboreshaji na ukarabati wa majengo na miundombinu ya Halmashauri
Kuwa na dira kuhusu gharama za ujenzi, uboreshaji na ukarabati
Kazi za tathmini za ujenzi, ukarabati na ukamilishaji wa miundombinu ya Shule za Msingi, Sekondari,  afya na majengo mbalimbali ya serikali.
Kazi ya tathmini hufanyika baada ya bajeti kutengwa na Mkurugenzi

-

100%













Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa