• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji

 

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO ROBO YA PILI KWA MWAKA 2016/17 (JULAI, 2016 HADI DISEMBA, 2016)

                                           

 UTANGULIZI

Katika mwaka wa fedha 2016/17, Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko iliidhinishiwa jumla ya Tsh. 8,252,991,478 /= (Tsh 5,353,073,000/=toka Serikali Kuu, Tsh 2,641,717,074/= toka kwa wahisani na Tsh 258,201,404 toka mapato ya ndani ya Halmashauri 60%) kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Maendeleo. Wakati huo, Halmashauri ilikuwa imebakiwa na salio ishia toka mwaka 2015/16 ya kiasi cha TSh. 1,614,009,116/= zikiwa zipo katika akaunti za Halmashauri. Hii inafanya kuwepo nafasi ya kutumia jumla ya TSh. 9,867,000,594/= kwa ajili ya kutekeleza miradi ya Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2016/2017.

2.0. UTEKELEZAJI WA MIRADI (JULAI, 2016 – DESEMBA, 2016)

 

2.1.   MIRADI VIPORO KWA MWAKA 2015/2016

Kwa mwaka wa Fedha 2015/2016, Halmashauri ilibakiwa na Fedha Tsh 1,614,009,116/= katika akaunti zilizopo ngazi ya Wilaya. Hadi mwishoni mwa robo ya pili ya mwaka wa fedha 2016/2017 Tsh. 815,460,023/= zimetumika kutekeleza miradi viporo sawa na 50.52% ya bakaa.

Fedha nyingi zilizokuwa hazijatumika zikiwemo fedha za ujenzi wa Makao Makuu ya Halmashauri, ujenzi wa wadi na Maabara kituo cha afya Nyanzige, mpango wa maendeleo ya elimu sekondari awamu ya pili (SEDP II), programu ya EQUIP zimeanza kutumika na utelekezaji wake unaendelea kwa kasi isipokuwa uendelezaji wa skimu ya Ruhwiti ambayo fedha zake hazijaanza kutumika kutokana na kuchelewa kupatikana kwa Mkandarasi anayekidhi vigezo, taratibu za kumpata mkandarasi mwenye sifa zipo hatua ya mwisho kukamilishwa.

 

2.2. MIRADI YA MWAKA 2016/17

Hadi kufikia tarehe 31.12.2016 kwa robo ya pili, Halmashauri ilikuwa imepokea Tsh 2,228,177,416/= kwa ajili ya utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017, na kutumia Tsh 977,469,460/= sawa 43.87% ya fedha zilizopokelewa. Pia Halmashauri imepokea fedha  nje ya bajeti iliyoidhinishwa kwa mwaka 2016/2017 kiasi cha Tsh  260,173,468/= zikiwa ni fedha za mfuko wa barabara (rollover fund) kwa ajili ya kulipa kazi za barabara zilizotendwa 2015/2016 ambazo fedha yake ilikuja kidogo na Tsh 147,193,468/=  sawa 56.58% zimekwishatumika kwa kulipa Wakandarasi waliomaliza kazi kwa mujibu wa mkataba.

 

 

2.3 CHANGAMOTO ZA UTEKELEZAJI

Masharti ya fedha za EQUIP ambayo shughuli zake haziwezi kufanyika mpaka ziruhusiwe na EQUIP – Makao Makuu.

Baadhi ya wakandarasi kuwa na uwezo mdogo hali inayopelekea kuchelewa kukamilika kwa kazi kwa wakati.

Halmashauri inaendelea kuchukua hatua mbalimbali kukabiliana na changamoto zinazojitokeza ikiwemo kuvunja mikataba ya wakandarasi wanaosuasua kumaliza kazi kwa wakati bila sababu za msingi. Halmashauri pia inaendelea kuwasiliana na EQUIP – Makao Makuu ili waharakishe utekelezaji wa shughuli zilizopangwa.

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa