• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Mifugo na Uvuvi

1.0 UTANGULIZI

Pamoja na shughuli za ushauri kwa wafugaji, kazi nyingine zilizofanyika ni pamoja na kutoa chanjo,matibabu,huduma ya ukaguzi wa nyama na ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki kwa kutumia mabwawa.

1.1 HALI YA MIFUGO

 Kwa kipindi chote cha robo hii hali ya Mifugo ilikuwa nzuri kwa baadhi ya Kata ukiondoa Kata za Kasuga, Muhange, Nyabibuye na Nyamtukuza ambapo kulikuwa na ugonjwa wa Chambavu, Kata zingine kulikuwa na matukio machache ya magonjwa yaliyojitokeza.

 

2.0 KAZI ZILIZOFANYIKA 

  • Utambuzi wa magonjwa, ufuatiliaji, utoaji kinga na tiba.

Ukaguzi wa afya ya Mifugo.

Ukusanyaji wa takwimu mbalimbali za Mifugo na Uvuvi.

Ukusanyaji wa sampuli kwa ajili ya uchunguzi wa magonjwa ya Mifugo,ambapo magonjwa kama vile Chambavu(BQ), Ugonjwa wa kutupa mimba (Brucellosis) na Ndigana kali (ECF) yaligundulika kuathiri mifugo hususani Ng’ombe.

  • Uhamasishaji wa wafugaji katika Kata za Nyabibuye,Muhange,Gwarama na Kasuga kwa ajili ya maandalizi ya kinga dhidi ya ugonjwa wa Chambavu
  • Mafunzo kwa wafugaji wa samaki na wajumbe wa Serikali za Vijiji (Kazilamihunda, Gwarama na Nyabibuye) juu ya sheria na kanuni ya uvuvi
  • Kutembelea wafugaji wa samaki katika vijiji vya Kazilamihunda, Kasanda, Nyagwijima, Nyabibuye, Gwarama na Nyakiyobe na kuwapa ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki.
  •  

3.0    CHANJO YA MIFUGO

Takwimu za mifugo iliyopatiwa chanjo dhidi ya magonjwa tofauti ni kama ifuatavyo kwenye jedwali hapa chini;-

 

MIFUGO ILIYOCHANJWA KWA ROBO YA PILI.

AINA YA MIFUGO
AINA YA UGONJWA

MWEZI

          JUMLA
VIFO
     OKTOBA
  NOVEMBA
 DESEMBA
Ng’ombe
Chambavu
  120
583
0
703   
113
Kuku
Mdondo
6,509
4,720
2,730
13,959
0

Mbwa
Kichaa cha Mbwa
       0
   108
       0
108      
0

 

4.0 MIFUGO ILIYOCHINJWA NA KUKAGULIWA KWA AJILI YA KITOWEO.

Mifugo aina tofauti kama ilivyoorodheshwa hapa chini ilichinjwa kwenye kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2016/17. Baada ya zoezi la ukaguzi wa nyama, viungo vifuatavo vilitupwa, matumbo 88,Maini 62 na Figo 2 (MBUZI) Ng’ombe maini 33,Nguruwe Figo 2 hii ni baada ya  kuoonesha hitilafu  na nyama safi iliruhusiwa kwa matumizi ya binadamu bila masharti.

AINA YA MIFUGO
                             MWEZI
JUMLA
MAPATO Tshs.
 
OKTOBA
NOVEMBA
DESEMBA
Ng’ombe
82
95
79
256
1,408,000
Mbuzi
667
723
517
1,907
4,767,500
Kondoo
  6
11  
 10
27
67,500
Nguruwe
  42
75
50  
167
668,000
JUMLA YA  MAPATO YALIYOKUSANYWA
6,911,000

 

4.1 MAPATO YATOKANAYO NA MIFUGO

Ushuru wa machinjio na ada ya ukaguzi wa nyama,mapato hayo yalikusanywa na watendaji wa Kata na Vijiji katika maeneo husika kama inavyoelekezwa na Idara ya Fedha kwa viwango tofauti kwa wanyama waliochinjwa.Hivyo fedha iliyokusanywa tokana na wanyama waliochinjwa ni Tshs. 6,911,000/=

                                                               

5.0 MATIBABU KWA MIFUGO KWA ROBO YA PILI 2016/17

Matibabu ya mifugo ndani ya Wilaya yalihusisha wanyama tofauti kama ilivyotolewa taarifa toka vijiji tofauti kama inavyoonesha hapa chini kwenye jedwali:-

AINA YA MIFUGO
UGONJWA
OKTOBA
NOVEMBA
DESEMBA
             VIFO
OCT.
NOV.
DES.
NG’OMBE
Ndigana baridi
138
142
65
16
12
02
Kukojoa damu
07
0
08
17
11
08
Ndigana kali
59
69
65
0
0
0
Moyo kujaa Maji
0
45
0
0
0
0
Ugonjwa wa Kiwele
0
5
5
0
0
0
 
MBUZI
Ndigana baridi
0
82
61
0
11
11
Moyo kujaa Maji
145
140
78
33
29
13
Ugonjwa ngozi
0
21
38
0
0
0
Nguruwe
Ugonjwa wa ngozi
0
31
35
0
0
0










 

 

6.0 KUOGESHA

Kuna jumla ya majosho 5 ndani ya Wilaya na yote hayafanyi kazi kwasababu ni mabovu/yanavuja, hivyo wafugaji hutumia bomba za mkono kuogesha wanyama wao, takwimu ya wanyama walioogeshwa na kutolewa taarifa ni kama ifuatavyo hapa chini;-

AINA YA MIFUGO
 OKTOBA
NOVEMBA
            DESEMBA
Ng’ombe
12,870
20,969
18,791
Mbuzi
4,577
6,428
6,393
Kondoo
0
0
82
Nguruwe
0
0
54

 

 

7.0 SEKTA YA UVUVI.

Taarifa hii inahusu shughuli zote zilizofanyika katika kitengo cha Uvuvi kwa kipindi cha robo ya pili ni kama ifuatavyo;-

  • Kutoa ushauri juu ya ufugaji bora wa Samaki kwa njia ya mabwawa
  • Kutoa mafunzo kwa wafugaji wa samaki na wajumbe wa Serikali za Vijiji (Kazilamihunda, Gwarama na Nyabibuye) juu ya sheria na kanuni ya uvuvi. Mahudhurio ilikuwa kama ifuatavyo:-
  • -Kazilamihunda Me 27, Ke 23
  • -Gwarama        Me 39, Ke 19
  • -Nyabibuye       Me 34, Ke 16
  • Kutembelea wafugaji wa samaki katika vijiji vya Kazilamihunda, Kasanda, Nyagwijima, Nyabibuye, Gwarama na Nyakiyobe na kuwapa ushauri juu ya ufugaji bora wa samaki.
  •  
  • Katika kipindi hiki bwawa moja limechimbwa katika Kijiji cha Nyagwijima na Mabwawa mawili yamefufuliwa katika Kijiji cha Kasanda.
  •  
  •  

8.0 IDADI YA MABWAWA YA SAMAKI

Kuna jumla ya mabwawa ya samaki 31, kati ya hayo mabwawa 19 yamepandwa vifaranga vya samaki na 12 hayajapandwa kama inavyoonyesha kwenye jedwali hapo chini. Hata hivyo juhudi zinafanywa na Halmashauri kupata wahisani, kuhamasisha wana vikundi na wafugaji binafsi ili kupata vifaranga kwa mabwawa hayo ambayo hayajapandwa.

Na
KIJIJI
IDADI YA MABWAWA
HALI YAKE
1
Kasanda
3
1 limepandwa
2 hayajapandwa
2
Kazialamihunda
4  
2 yamepandwa          
2 Hayajapandwa
3
Nyagwijima
5  
2 yamepandwa
3 hayajapandwa
4
Kiziguzigu
2  
2 yamepandwa
5
Kakonko
1
1 limepandwa
6
Nyabibuye
4
3 yamepandwa
1 halijapandwa
7
Nyakiyobe
4
2 yamepandwa
2 hayajapandwa
8
Gwarama
8
6 yamepandwa
2 hayajapandwa

               

9.0 CHANGAMOTO.

  • Upatikanaji wa chanjo ya Mifugo. Chanjo kugharimiwa na wafugaji wenyewe hupelekea baadhi ya wafugaji kujitafutia dawa za chanjo bila kufuata utaratibu na njia sahihi za utunzaji wa chanjo hususani chanjo ya Ugonjwa wa Chambavu kwa Ng’ombe na hatimaye kusababisha matatizo kwa mifugo badala ya kutatua tatizo. Hata hivyo Mikutano na wafugaji inafanyika ili kuagiza na kuhifadhi chanjo kupitia Idara ya Mifugo na Uvuvi.
  • Ukosefu wa fedha kwa ajili ya kununua vifaranga vya kupandikiza kwenye mabwawa mapya.Hata hivyo jitihada zinafanyika ili kupata vifaranga kwa kushirikisha Wahisani kama World Vision na Vikundi kuweka mkakati wa kuchangia ili kupata fedha za kununulia vifaranga.

Upungufu wa watumishi unasababisha wafugaji kutofikiwa ili kupata huduma za ugani inavyopaswa.

                                                

     10.0 MIKAKATI YA KUBORESHA MIFUGO NA UVUVI

Kutoa chanjo kwa mifugo ili kuzuia magonjwa ya kuambukiza hasa chanjo ya Chambavu na mdondo.            

Kuendelea kutoa mafunzo kwa vikundi vya wafugaji samaki.

Kusimamia mapato yatokanayo na mifugo.

Kuendelea kutoa mafunzo kwa wafugaji ili wafuge kibiashara.

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa