• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Elimu Msingi

  • ELIMU YA AWALI
    • Watoto wenye umri kati ya 0-6 wamekuwa wakipokelewa kwa ajili ya kusoma elimu ya awali.Halmashauri ina jumla ya shule za awali 60, kati ya hizo 59 ni za serikali na 1 ni shule binafsi.
  • 6.1.2   ELIMU YA MSINGI.
  • Wilaya ya Kakonko inasimamia Elimu ya awali, Elimu ya Msingi na Ufundi Stadi. Kuna jumla ya shule za msingi 59 ambapo shule zote hizo ni za serikali. Aidha Wilaya ina vituo 2 vya Ufundi Stadi vilivyopo Shule za msingi za Kasanda na Kasuga vyenye jumla ya wanafunzi 30. Kati ya shule zote shule 44 zina Elimu ya Awali.
  •       6.1.2.1   Uandikishaji wa watoto wa darasa la kwanza.
  • Uandikishaji wa watoto wa darasa la Kwanza kwa miaka mitano (2011 – 2016) umekuwa wa kuridhisha. Kiwango cha uandikishaji dhidi ya malengo kimeongezeka kutoka 98.5% mwaka 2011 hadi 99.9% kwa mwaka 2016. Kwa mwaka 2016, Mafanikio haya yametokana na ongezeko la watoto wenye umri wa kuanza shule kuongezeka ambao wametayarishwa kupitia Elimu ya awali.. Takwimu ya malengo na hali halisi kwa jinsia ni kama inavyoonyeshwa katika jedwali la hapa chini.
  •      
  • Jedwali Na: 21. Takwimu ya uandikishaji watoto wa darasa la kwanza
  •  
    • Mwaka
    • Malengo
    • Walioandikishwa
    • Wasioandikishwa 
    • Wav
    • Was
    • Jml
    • Wav
    • Was
    • Jml
    • %
    • Wav
    • Was
    • Jml
    • %
    • 2011
    • 2,498
    • 2,326
    • 4,824
    • 2,470
    • 2,280
    • 4,750
    • 98.5
    • 28
    • 46
    • 74
    • 1.5
    • 2012
    • 2,434
    • 2,312
    • 4,746
    • 2,404
    • 2,287
    • 4,691
    • 98.8
    • 30
    • 25
    • 55
    • 1.2
    • 2013
    • 2,493
    • 2,324
    • 4,817
    • 2,486
    • 2,314
    • 4,800
    • 99.6
    • 7
    • 10
    • 17
    • 0.4
    • 2014
    • 2,509
    • 2,567
    • 5,073
    • 2,507
    • 2,562
    • 5,069
    • 99.9
    • 2
    • 5
    • 7
    • 0.1
    • 2015
    • 2,844
    • 2,734
    • 5,578
    • 2,512
    • 2,514
    • 5,026
    • 90.1
    • 332
    • 220
    • 552
    • 9.9
    • 2016



    • 17535
    • 17956
    • 35491






    •      
    •  
    •     6.1.2.2. Idadi ya wananfunzi wa shule za msingi 2011 hadi 2015.
    •      
    •      Idadi ya wanafunzi katika shule za msingi kwa miaka 5 (2011 – 2015) imepanda kutoka    
    •      wanafunzi 28,586 hadi 31,862, ingawa ilishuka kwa mwaka 2012  kwa 3.2%. Aidha idadi hiyo   
    •      kwa mwaka 2011 na 2012 inajumuisha wanafunzi wa elimu ya msingi na awali. Uwiano kati ya   
    •      wanafunzi wa kiume na kike ni karibu hamsini kwa hamsini (50:50).
    • Jedwali Na: 22. Usajili ya wanafunzi Elimu ya msingi mwaka 2011 – 2015
    •  
      • Mwaka
      • Maelezo
      • Wavulana
      • Wasichana
      • Jumla
      • Mikondo
      • 2011
      • Jumla (awali + msingi)
      • 14,133
      • 14,453
      • 28,586
      • 636
      • 2012
      • Jumla (awali + msingi)
      • 13,889
      • 13,791
      • 27,680
      • 616
      • 2013
      • Elimu ya awali
      • 1,496
      • 1,463
      • 2,959
      • 119
      • Elimu ya Msingi
      • 13,971
      • 13,792
      • 27,763
      • 694
      • Jumla
      • 15,467
      • 15,255
      • 30,722
      • 813
      • 2014
      • Elimu ya awali
      • 1,708
      • 1,790
      • 3,498
      • 139
      • Elimu ya msingi
      • 13,683
      • 13,742
      • 27,425
      • 687
      • Jumla
      • 15,391
      • 13,532
      • 30,923
      • 826
      • 2015
      • Elimu ya awali
      • 2,758
      • 2,910
      • 5,668
      • 227
      • Elimu ya msingi
      • 12,920
      • 13,274
      • 26,194
      • 655
      • Jumla
      • 15,678
      • 16,184
      • 31,862
      • 882
      • 2016
      • Elimu ya awali
      •  
      •  
      •  
      •  
      •  
      • Elimu ya msingi
      •  
      •  
      •  
      •  
      •  
      • Jumla
      •  
      •  
      •  
      •  
      • 6.1.2.3. Miundombinu na samani za elimu ya msingi 2011 – 2015
      • Wilaya inaendelea kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kadiri fedha inavyopatikana. Katika kipindi cha miaka 4, idadi ya vyumba vya madarasa vimekuwa vikiongezeka kidogo kidogo kutoka 469 mwaka 2011 hadi 484 mwaka 2015. Hali kadhalika idadi ya nyumba za walimu imeongezeka kutoka nyumba 179 mwaka 2011 hadi nyumba 223 mwaka 2015 sawa na 30.9% ya mahitaji.
      •  
      • Jedwali Na: 23. Miundombinu na samani ya Elimu ya msingi 2011 – 2015
      •  
        • Na
        • Miundombinu
        • 2011
        • 2012
        • 2013
        • 2014
        • 2015
        • Mahi-taji
        • Yaliyopo
        • Mahi-taji
        • Yaliyopo
        • Mahitaji
        • Yaliyopo
        • Mahi-taji
        • Yaliyopo
        • Mahi-taji
        • Yaliyopo
        • Idadi
        • %
        • Idadi
        • %
        • Idadi
        • %
        • Idadi
        • %
        • Idadi
        • %
        • 1
        • Madarasa
        • 636
        • 469
        • 73.7
        • 616
        • 475
        • 77.1
        • 813
        • 482
        • 59.3
        • 694
        • 482
        • 69.5
        • 721
        • 480
        • 66.6
        • 2
        • Nyumba za Wlim
        • 451
        • 179
        • 39.7
        • 492
        • 198
        • 40.2
        • 532
        • 218
        • 41.0
        • 721
        • 223
        • 30.9
        • 746
        • 226
        • 30.3
        • 3
        • Mat.vyoo - wav
        • 583
        • 246
        • 42.2
        • 556
        • 313
        • 56.3
        • 559
        • 237
        • 42.4
        • 641
        • 200
        • 31.2
        • 668
        • 277
        • 41
        • 4
        • Mat. vyoo  - was
        • 728
        • 293
        • 40.2
        • 690
        • 376
        • 54.5
        • 690
        • 242
        • 35.1
        • 796
        • 279
        • 35.1
        • 618
        • 258
        • 42
        • 5
        • Mat vyoo wal -Me
        • 57
        • 40
        • 70.2
        • 57
        • 40
        • 70.2
        • 59.
        • 46.
        • 78.0
        • 59
        • 59
        • 100
        • 1,286
        • 535
        • 41.6
        • 6
        • Mat. vyoo wal- Ke
        • 57
        • 39
        • 68.4
        • 57
        • 40
        • 70.2
        • 59.
        • 38.
        • 64.4
        • 59
        • 59
        • 100
        • 7
        • Ofisi za walimu
        • 57
        • 45
        • 70.2
        • 57
        • 45
        • 76.3
        • 59.
        • 45
        • 76.3
        • 59
        • 51
        • 86.4
        • 188
        • 103
        • 54.8
        • 8
        • Madawati (wat 3)
        • 9,529
        • 7,841
        • 82.3
        • 9,227
        • 7,266
        • 78.7
        • 9,255
        • 7,327
        • 79.2
        • 9,255
        • 7,377
        • 79.7
        • 7,178
        • 2,693
        • 37.5
        • 9
        • Viti
        • 1,564
        • 907
        • 58.0
        • 1,608
        • 890
        • 55.3
        • 1,506
        • 894
        • 59.4
        • 1,506
        • 894
        • 59.4
        • 1506
        • 894
        • 59
        • 10
        • Meza
        • 1,087
        • 599
        • 55.1
        • 1,108
        • 605
        • 54.6
        • 1,345
        • 602
        • 44.8
        • 1,375
        • 773
        • 56.2
        • 1375
        • 602
        • 44
        • 11
        • Kabati
        • 451
        • 152
        • 33.7
        • 616
        • 193
        • 31.3
        • 721
        • 167
        • 23.2
        • 807
        • 167
        • 20.7
        • 807
        • 167
        • 21
        • 12
        • Shubaka
        • 118
        • 77
        • 65.3
        • 118
        • 78
        • 66.1
        • 118
        • 84
        • 71.2
        • 594
        • 84
        • 14.1
        • 594
        • 84
        • 1 
        •      6.1.2.4. Mahitaji ya walimu katika elimu ya msingi mwaka 2011- 2015
        • Mwaka 2011 walikuwepo walimu 451 wakati mahitaji halisi ni 733 na hivyo kuwepo upungufu wa walimu 282. Upungufu huo uliendelea kupungua hadi kuwepo upungufu wa walimu 176 mwaka 2015 sawa na 24%.
        •  Haujakuwepo na tofauti ya uwiano wa walimu kwa wanafunzi kwani imebakia 1:45 toka mwaka 2011 hadi mwaka 2015. Hii inatokana na kuwa ongezeko halisi ya wanafunzi wanaosajiliwa mashuleni imekuwa ikiongezeka kwa 5.4% kwa mwaka wakati ongezeko la walimu kwa mwaka ni 5.7%.
        •               Jedwali Na: 24. Mahitaji ya walimu katika s/msingi 2011 – 2014
        •  
          • Na
          • Kiwango cha Elimu
          • 2011
          • 2012
          • 2013
          • 2014
          • Me
          • Ke
          • Jml
          • Me
          • Ke
          • Jml
          • Me
          • Ke
          • Jml
          • Me
          • Ke
          • Jml
          • Mahitaji ya walimu
          •  
          •  
          • 733
          •  
          •  
          • 692
          • 400
          • 321
          • 721
          • 400
          • 321
          • 721
          • Walimu waliopo












          • 1
          • Shahada
          • 0
          • 0
          • 0
          • 0
          • 0
          • 0
          • 4
          • 0
          • 4
          • 3
          • 0
          • 3
          • 2
          • Stashahada
          • 2
          • 0
          • 2
          • 6
          • 1
          • 7
          • 6
          • 1
          • 7
          • 9
          • 1
          • 10
          • 3
          • Daraja la IIIA
          • 298
          • 105
          • 403
          • 302
          • 127
          • 429
          • 330
          • 169
          • 499
          • 327
          • 181
          • 508
          • 4
          • Daraja la B/C
          • 39
          • 7
          • 46
          • 47
          • 9
          • 56
          • 18
          • 4
          • 22
          • 32
          • 11
          • 43

          • Jml walimu
          • 339
          • 112
          • 451
          • 355
          • 137
          • 492
          • 358
          • 174
          • 532
          • 371
          • 193
          • 564

          • Upungufu/Zidi
          • -
          • -
          • (262)
          • -
          • -
          • (200)
          • (42)
          • (147)
          • (189)
          • (29)
          • ­(128)

           

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa