• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

UZINDUZI WA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANANCHI WAFANYIKA WILAYANI KAKONKO.

Imetumwa: June 3rd, 2025


Halmashauri ya Wilaya Kakonko imezindua zoezi la ugawaji wa vyandarua 126,971 kwa Wananchi bila malipo lengo ikiwa kupunguza maambukizi ya malaria ambapo katika kipindi cha miaka mitatu maambukizi yamepanda kutoka 32% hadi kufikia 38.7%.

Sophia Ndembeto Ndalagura, Mratibu wa Malaria Wilaya ya Kakonko ameeleza kuwa wamefanya uzinduzi wa ugawaji wa vyandarua 126,971 bila malipo kwa wananchi katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri leo Jumanne 3 Mei, 2025.

Dr.Sophia ameongeza kuwa maambukizi yameongezeka Wilayani Kakonko katika kipindi cha miaka 03 kuanzia mwaka 2022 hadi 2024 ambapo maambukizi yamepanda kutoka 32% kwa mwaka 2022, 38.5% kwa mwaka 2024 na kuanzia Januari hadi Aprili 2025 maambukizi yamefikia 38.7%.

Mratibu wa Malaria amefafanua kuwa afua mbalimbali zinatumika katika kupunguza maambukizi ya malaria ikiwemo kutumia vyandarua vyenye dawa ili kupunguza hali ya maambukizi katika Wilaya ya Kakonko.  

“Mwitikio wa wananchi upo chanya kwani wamefurahi kupata vyandarua kutoka kwa Rais Samia bila malipo”, alisema, Dr.Sophia.

Shukuru Abubakari Kisimba, mkazi wa Kakonko ameeleza kuwa wamefika kwa ajili ya kupata elimu ya matumizi ya vyandarua na kuhudhuria uzinduzi wakilenga kuepuka maambukizi ya malaria kwa kutumia vyandarua vyenye dawa.

Shukuru ameongeza kuwa, wamepanga kutumia mbinu walizoelekezwa ya kuzuia maji yaliyotuama kwani yanatengeneza mazalia pamoja na uondoaji wa vichaka katika mazingira wanayoishi.

Annastazia Kimatuzi Chiza, mkazi wa Kakonko na mnufaika wa vyandarua vyenye dawa bila malipo ametoa shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kuwapatia vyandarua ili kuepuka kuugua malaria na kumwomba mheshimiwa Rais aendelee kuwajali na kuwakumbuka wana kakonko kwani yeye ni mama mwema ambaye amesaidia kukomboa wanawake na watoto ili wasiugue malaria.

Vyandarua 126,971vinategemewa kugawiwa kwa Wananchi katika kata 13, tarafa 03, na Vijiji 44 vilivyopo Wilayani Kakonko hivyo kupunguza maambukizi ya malaria.

Kauli mbiu, “Malaria inatokomezwa na sisi, wekeza chukua hatua, ziro Malaria inaanza na Mimi”.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II June 23, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II. June 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - WAKUSANYA MAPATO 26 June 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI. June 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

    June 04, 2025
  • UZINDUZI WA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANANCHI WAFANYIKA WILAYANI KAKONKO.

    June 03, 2025
  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa