• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

Imetumwa: June 4th, 2025

Kufuatia maadhimisho ya siku ya mazingira yaliyofanyika Jumatano 4 Juni, 2025, Wananchi Wilayani Kakonko wameaswa kuhifadhi mazingira ili kuwa ustawi mkubwa kwa jamii endelevu na kutumia vifungashio vya plastiki vinavyotumika mara moja.

Akihutubia Wananchi katika viwanja vya Mwenge vilivyopo Wilayani Kakonko, Abdallah Mwamacha, mwakilishi wa mkuu wa Wilaya aliyekuwa mgeni rasmi alitoa rai kwa viongozi na wananchi kuhifadhi mazingira ili kuwa ustawi mkubwa kwa jamii endelevu.

Bwana Mwamacha, amewasisitiza wananchi kuwa shughuli mbalimbali ambazo wamekuwa wakizifanya za kiuchumi zisipelekee kuwa na ongezeko kubwa la uharibifu wa mazingira na kushindwa kuhifadhi mazingira waliyonayo kwani mazingira yao ni muhimu kwa hiyo wayatunze kwa nguvu zote kwa ushirikiano ambao utakuwa ni wenye tija.

“Tuepuke utupaji wa taka hovyo hasa kwenye maeneo ya misitu na maeneo ya vyanzo vya maji”, Alieleza mgeni rasmi.  

Naye mkuu wa kitengo cha Maliasili na Mazingira amewasisitiza Wananchi kuwa Kupitia maadhimisho hayo wananchi wasiendelee kutumia vifungashio vya plastiki ambavyo vinatumiwa mara moja tu, kama kuna ulazima wa kutumia vifungashio vya plastiki, watumie vila vinavyotumika mara kwa mara.

Kaimu Mkurugenzi mtendaji, Mustapha Mtungwe amewaeleza wananchi kuwa uharibifu wa mazingira unapoelekea wao wenyewe kuharibu ustawi wao, hivyo ili waweze kuishi vizuri wanatakiwa kutunza mazingira pamoja na kujali miundo mbinu waliyoijenga.

“Nitoe wito kwenu viongozi wa Serikali na wananchi baada ya kutoka hapa muelimishane kuwa kuchoma miti sasa basi”, alieleza Kaimu Mkurugenzi.

Justine Constantine Bihemo, Mkazi wa Kakonko alieleza kuwa wameelezwa kuwa watunze mazingira hivyo alitoa wito kwa wananchi wengine kuzingatia kutunza mazingira kwa ufanisi ili yawatunze.

Kila tarehe 05 Juni maadhimisho ya siku ya mazingira yanafanyika kitaifa ambapo Wilayani Kakonko, Madhimisho hayo yalianza 3 Juni, 2025 kwa kufanya shughuli mbalimbali ikiwemo kufanya usafi soko kuu Kakonko, kutoa elimu kuhusu kudhibiti vitendo vya ukataji miti hovyo na uchomaji moto kwani vitendo hivi hushamiri msimu wa kiangazi na kuhitimishwa 4 Juni, 2025 kwa kuhutubia wananchi katika viwanja vya Mwenge.

Kauli mbiu. “Dhibiti Matumizi ya Plastiki”.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II June 23, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II. June 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - WAKUSANYA MAPATO 26 June 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI. June 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

    June 04, 2025
  • UZINDUZI WA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANANCHI WAFANYIKA WILAYANI KAKONKO.

    June 03, 2025
  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa