• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Ujenzi na Zimamoto

UTANGULIZI:

Idara ya Ujenzi na Zimamoto ina Vitengo vitatu

  •  1. Kitengo cha Umeme na Mitambo.   
  •  2.  Kitengo cha Majengo,    
  •  3.  Kitengo cha Barabara,


A: KAZI ZA KILA KITENGO

1. KITENGO CHA UMEME NA MITAMBO

a) Kukagua na kusimamia matengenezo ya Magari yote ya Halmashauri                          

b) Kukagua na kusimamia mfumo wa Umeme katika Majengo yote ya Halmashauri

2: KITENGO CHA MAJENGO:

  • Kusanifu na kuchora michoro ya Majengo ya Halmashauri                                   
  • Kukagua na kusimamia Majengo yote ya Halmashauri                                               
  • Kuaanda Makisio (BoQ) za Majengo ya Halmashauri                                     
  • kushirikiana na Kitengo cha Ugavi  kunadaa Mikataba ya Majengo.                   
  • Kuandaa vyeti vya Malipo (Certificates) za majengo.

3. KITENGO CHA BARABARA:

  • Kusanifu na kuchora michoro ya Barabara za Halmashauri                                    
  • Kukagua na kusimamia kazi zote za Barabara za Halmashauri                                             
  • Kuaanda Maksio (BoQ) za Barabara                                                                                      
  • Kushirikiana na Kitengo cha Ugavi kuadaa Matangazo ya kazi za  Barabara.                       
  • Kuaanda cheti cha malipo (Certificates) za Barabara.

 

UTEKELEZAJI:

A.KITENGO CHA UMEME NA MITAMBO

a) Magari manne yamekaguliwa na moja limetengenezwa                                                                                                 

b) Magari matatu yamefanyiwa Matengenezo madogo madogo (Minor service).

 

B: KITENGO CHA MAJENGO:

  • Ukaguzi wa Maabara zote za Shule za Sekondari umefanyika ili kujua Mapugufu yaliyopo                                                                                                          
  • Michoro ya Majengo ya Wodi na Maabara ya Nyazinge imesanifiwa na Kuchorwa.                                                                                                                         
  • Maksio ya umaliziaji wa Maabara za Shule za Sekondari pamoja na Wodi na Maabara katika Kituo cha Afya Nyazige yameandaliwa na kazi imetangazwa                                           
  • Vyeti vya Malipo (Certificates) vimetolewa.

C: KITENGO CHA BARABARA:

  • Ukaguzi wa Barabara umefanyika na Barabara mpya zenye urefu wa kilomita 32.3 zimeibuliwa ili kuongeza mtandaao wa Barabara.                                                          
  •  Michoro ya Barabara (Strip maps,Road section na Culverts) imechorwa      
  • Maksio (BoQ) za Barabara zimeandaliwa.                                                                  
  • Matangazo ya kazi za Barabara yameandaliwa na kutangazwa                                          
  • Vyeti vya Malipo (Certificates) za kazi za Barabara zilizo vuka mwaka vimeandaliwa na Wakandarasi wote ambao walikuwa wanaidai Halmashauri wameishalipwa.

Matangazo

  • FORM I 2021 JOIN INSTRUCTIONS December 18, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Ujenzi wa stendi ya kisasa Kakonko waanza kutekelezwa kwa gharama ya Tsh.2.1 bilioni kwa siku 365

    June 20, 2019
  • Hospitali ya Wilaya ya Kakonko yapokea msaada wa vifaa tiba na madawa ya Tsh.88,295,430/=

    May 02, 2019
  • BALOZI WA NORWAY NCHINI TANZANIA AKABIDHI VIFAA VYA MIFUGO KAKONKO

    January 24, 2019
  • MIRADI 3 YA MAJI YA BILIONI 1.5 KUTEKELEZWA NDANI YA MIEZI 6 KAKONKO

    June 08, 2018
  • Tazama zote

Video

Maadhimisho ya siku ya wanawake kitaifa yafanyika kwa ufanisi Mkoani Simiyu Machi 8, 2020
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Tangazo la zabuni
  • Matokeo ya Mitihani ya baraza
  • Nafasi za kazi zinazotolewa na Sekretalieti ya Ajira
  • Taarifa kwa Umma zinazotolewa na "TAMISEMI"

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: 028-2820137

    Simu ya Mkononi: 0757470800

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa