• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

COL. MALLASA AFUNGUA RASMI MAADHIMISHO YA WIKI YA SHERIA WILAYANI KAKONKO KWA KUONGOZA MATEMBEZI YA MIGUU.

Imetumwa: January 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Col.Evance Mallasa Jumamosi Januari 25, 2025 amefungua rasmi wiki ya sheria kwa kuongoza matembezi akiambatana na watumishi wa Serikali na wadau mbalimbali katika viwanja vya mahakama ya mwanzo.

Akizungumza wakati wa kufungua maadhimisho hayo, Col.Evance Mallasa ambaye alikuwa Mgeni Rasmi ameiomba mahakama pamoja na Wadau wake kutumia muda huo kutoa elimu kwa umma juu ya jukumu zima la utoaji haki kwa wananchi, kutoa msaada wa kisheria, kusikiliza kero na kupokea maoni mbalimbali kutoka kwa wananchi kuhusu mwenendo mzima wa utoaji haki na utendaji wa shughuli za kimahakama.

Aidha ameeleza kuwa maadhimisho hayo yanalenga kuwajengea uelewa wananchi wote juu ya uendeshaji wa mashauri mahakamani kwani suala la haki madai ni la jamii nzima hivyo kwa ujumla wanapaswa kufuatilia na kutambua wajibu walionao kulingana na kazi wanazozifanya wakati huohuo jambo hilo litawasaidia wananchi kutambua haki zao za kisheria na taratibu za kimahakama. 

Vilevile mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa kupitia kauli mbiu isemayo “Tanzania ya 2050 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo makuu ya Taifa ya Maendeleo’’. Hivyo kupitia kauli hiyo dira ya 2050 imejikita katika kuhimiza ukuaji wa kipato cha mtanzania kuwa na uchumi wa kati.

 Mgeni rasmi ameongeza kuwa ili lengo liweze kufikiwa, Mahakama na Taasisi zinazohusika na utatuzi wa madai zina jukumu la kufanya kazi kwa weledi na kasi kubwa ili kuhakikisha kila mtanzania anafikia malengo kwa kukuza uchumi wake na nchi kwa ujumla.

 Hatahivyo amewataka wananchi kuendelea kutatua changamoto zao kisheria na  kujiepusha na uvunjifu wa sheria kwa kujichukulia sheria mkononi kwani jambo hilo linaweza kusababisha uvunjifu amani hivyo amesisitiza wananchi kuendelea kufuata sheria za nchi.

“Kila mwananchi analo jukumu la kujali haki zake na watu wengine hata hivyo kumekuwa na wananchi wanaojichukulia sheria mkononi, jambo hilo ni kinyume na sheria”, alieleza Col.Mallasa.

Kwa upande wake Hakimu  Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Mhe.Ambilike Kyamba, amesema wiki ya Sheria ni kiashiria cha kuanza shughuli za kisheria kwa mwaka mpya 2025 hivyo wiki hii ya kisheria inatoa fursa kwa wananchi kufika kujifunza majukumu ya mahakama na kupata elimu na ushauri wa kisheria kupitia kwa wadau wanaotoa huduma mbalimbali za kisheria hadi kilele cha siku ya sheria Februari 03, 2025 hivyo wananchi wajitokeze kwa wingi katika maeneo yote ambayo watakuwa wakitoa elimu ya kisheria.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa