• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko yapokea Milioni 760 kwa ajili ya ujenzi wa Madarasa 38

Imetumwa: October 17th, 2022

Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko imepokea kiasi cha fedha za kitanzania Millioni Mia Saba na Sitini (Tsh. 760,000,000/=) kutoka Serikali kuu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya uongozi wa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan kwa madhumuni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa thelathini na nane (38) ikiwa ni Maandalizi na Mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha Kwanza kwa Mwaka 2023.

Mkuu wa wilaya ya kakonko kanali Evance Mallasa leo Jumatano Oktoba 12,2022 amefanya kikao na viongozi pamoja na wasimamizi wa miradi ya elimu kwa lengo la kuweka mikakati namna ya utekelezaji wa ujenzi wa madarasa hayo kwa viwango Bora.

Mkuu wa Wilaya ameitaka halmashauri kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji, wakuu wa shule na watendaji wa kata kuhakikisha wanazingatia kuchagua mafundi weledi watakaoomba kazi hizo za ujenzi na kuepukana na mafundi wasio kuwa waadilifu, Pia aliwaagiza maafisa manunuzi kuhakikisha mipango ya utekelezaji wa manunuzi ya vifaa vya ujenzi mapema, vile vile aliwaeleza wahandisi wa ujenzi wahakikishe wanakua maeneo ya ujenzi wakiwa na vitendea kazi vyao.

Aidha amewataka waheshimiwa madiwani, Maafisa tarafa, Watendaji wa kata na Watendaji wa vijiji kuwaeleza wananchi kuhusu fedha zilizotolewa na Mhe.Rais na kutambulisha miradi hiyo kwa kufanya mikutano ya hadhara ili kuwa na uelewa juu ya miradi itakayotekelezwa katika maeneo yao.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko ndugu Ndaki Mhuli alimshukuru mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuijali Wilaya ya Kakonko, alieleza mara baada ya kupokea fedha hizo tayari taratibu za ujenzi zimeshaanza na alimhakikishia Mkuu wa wilaya kutimiza kazi ya ujenzi wa madarasa kwa wakati, hivyo aliomba ushirikiano wa kutosha kwa kamati mbali mbali za ujenzi, watendaji wote pamoja na wananchi kuwa waaminifu ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati.

Naye Mwenyekiti wa halmashauri ya Wilaya ya Kakonko ndugu Fideli Nderego ameipongeza Serikali kwa kuendelea kuleta fedha za maendeleo katika halmashauri ya wilaya ya kakonko kwa lengo la kuboresha miundombinu na kukuza taaluma mashuleni.

Kikao hicho kimehudhuriwa na kamati ya ulinzi na usalama, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya, Katibu Tawala wa Wilaya, Viongozi wa Chama cha Mapinduzi, Waheshimiwa Madiwani, Wakuu wa Idara na vitengo, Watendaji wa Kata na Vijiji, Waratibu Elimu Kata Na Wakuu wa Shule.

Mkuu wa Wilaya kanali Evance Mallasa ametoa maelekezo ya ujenzi wa madarasa 38 kukamilikia  kuanzia tarehe 12 Oktoba, 2022 hadi kufikia tarehe 1 Desemba, 2022.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa