• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA USHAURI WILAYA YAPITIA BAJETI YA HALMASHAURI NA TAASISI ZA SERIKALI YENYE GHARAMA YA ZAIDI YA BILIONI 30.

Imetumwa: February 11th, 2025

Mwenyekiti wa kamati ya Ushauri ya Wilaya (DCC) Col.Evance Mallasa ameongoza kikao cha kupitia rasimu na bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko yenye jumla ya Tshs.26,831,284,119 pamoja na bajeti za taasisi za Serikali Kuu ikiwemo TARURA na RUWASA zenye zaidi ya bilioni 4, siku ya Jumanne, Februari 11, 2025.

Akifungua kikao, Mwenyekiti wa kamati ameeleza kuwa ni vyema Kuzingatia sheria, kanuni na taratibu katika utekelezaji wa majukumu ili kuleta matokeo yenye tija.

Afisa Mipango wa Halmashauri, Michael Faraay amewasilisha bajeti ya halmashauri kwa niaba ya Mkurugenzi mtendaji yenye Jumla ya Tshs.26,831,284,119 ikiwa na vipaumbele mbalimbali ikiwemo kuajiri watumishi wapya 174 na kupandisha vyeo watumishi 526.

Kwa upande wa taasisi za Serikali, Meneja wa Tarura Eng.John Ambrose ameeleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Wakala wa Barabara wa Vijijini na Mijini TARURA inaomba kuidhinishiwa kiasi cha bilioni 2.27 kwa ajili ya matengenezo na ujenzi wa Barabara zenye urefu wa kilomita 136.54 kupitia mfuko wa Barabara, mfuko wa Jimbo na mfuko wa tozo ya mafuta.

Meneja TARURA Ameongeza kuwa kupitia fedha za mfuko wa Jimbo wameomba milioni 500 ili kufungua Barabara ya Nyakavyiru Kwenda Kijiji cha Luhuru yenye urefu wa kilomita 44 na kupitia mfuko wa tozo ya mafuta wamelenga kutengeneza barabra za kuingia na kutoka stendi yam abasi zenye urefu wa mita 300, milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa Barabara inayoelekea makao makuu ya Halmashauri na milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Itumbiko na uwekaji wa taa za barabarani.

Kaimu Meneja wa RUWASA, Martha Mwasimba alieleza kuwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Wakala wa maji safi na usafi wa mazingira wanategemea kutekeleza miradi mbalimbali inayogharimu zaidi ya bilioni 1.9 ikiwemo ukamilishaji ujenzi wa mradi wa maji Kijiji cha Luhuru kwa milioni 510, Kabare kwa milioni 663, upanuzi na ukarabati wa maji Kijiji cha Bukirilo Milioni 370, ujenzi wa Miundo mbinu ya kutibu maji ili kuondoa tope katika Kijiji cha Muhange na Kabare kwa gharama ya milioni 140 na upanuzi wa ukarabati wa skimu za maji Kijiji cha Gwarama, Churazo, Kinyinya, Nyanzige, Kasongati na Nyabibuye kwa gharama ya milioni 310.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa