• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA USIMAMIZI MIRADI NA SHIRIKA LA WORLD VISION LATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO NA KURIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WAKE.

Imetumwa: August 25th, 2023

Kamati ya usimamizi wa miradi Wilaya ya Kakonko kwa kushirikiana na shirika  la World Vision  imefanya ziara ya kutembelea  na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na shirika la World Vision  Mwanzoni mwa wiki hii tarehe 24 Agosti 2023 ndani ya Wilaya ya Kakonko na kuridhishwa na utekelezaji wake.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa nyumba ya Watumishi Zahanati ya Chilambo two in one iliyopo kata ya Kasanda Wilayani Kakonko kwa gharama ya Tsh.246,936,362, Ujenzi wa matundu ishirini ya vyoo wavulana na wasichana shule ya Msingi Ilabiro kwa Gharama ya Tsh. 106,153,390.00, ujenzi wa matundu ishirini ya vyoo Wasichana na Wavulana Shule ya Msingi Narubura kwa Gharama Tsh.106,153,390. 00, ujenzi wa matundu ishirini ya vyoo wavulana na wasichana Shule ya Msingi Nyamiaga kwa Gharama ya Tsh.106,153,390.00, ujenzi  wa matundu ishirini ya Vyoo wasichana na wavulana Shule ya Msingi Kumuhunga kwa gharama ya Tsh.106,153,390.00 pamoja na mradi wa ujenzi wa nyumba ya Watumishi two in one iliyopo Kijiji cha Churazo kwa Gharama ya Tsh. 221,465,232.00.

Mbali na kutembelea miradi kamati imekagua maeneo mbalimbali yanayotarajiwa kujengwa matundu ya vyoo kwa mwaka wa fedha 2023/2024 katika shule mbalimbali ikiwa ni pamoja na Shule ya Msingi Kasanda iliyopo kata ya Kasanda Wilayani Kakonko ambapo shule hiyo inatarajia kujengewa matundu 10 ya vyoo kwa wavulana na wasichana, Shule ya Msingi Kabingo iliyopo Kata ya Katanga inayotarajiwa kujengewa matundu 12 ya vyoo,Shule ya Msingi Churazo ambapo itajengewa matundu 20 ya vyoo , Shule ya Sekondari Mugunzu  ambapo inatarajiwa kujengewa matundu matano na mabafu matano pamoja na ujenzi wa Jengo la Mama na Mtoto linalotarajiwa kujengwa katika Zahanati ya Rumashi iliyopo kata ya Nyanzige kwa  mwaka wa fedha 2023/2024. Ujenzi huo unatarajia kutekelezwa na shirika la World Vision.

Aidha kamati imeridhishwa na miradi yote na kumuomba Mkandarasi kuongeza nguvu ili kukamilisha kazi kwa wakati kwani mradi unatarajia kukamilika tarehe 30 Agosti 2023 hivyo  kuhakikisha kila kitu kinakamilika kwa wakati  na kwa ubora unaohitajika pia mapungufu madogo kuyafanyia kazi.

Kwa upande wake Mhandisi wa Ujenzi kutoka Shirika la World Vision Kanda ya Kigoma Ndg. Ndibalema Josephat, ameupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kwa kwa kuendelea kutoa ushirikiano mzuri kwa Shirika la World Vision hivyo ameomba kuendelea kupewa ushirikiano kutoka kwa Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa