• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI NA HALMASHAURI WAHIMIZWA KUANGALIA NAMNA YA KUWASAIDIA WANAFUNZI WANAOTEMBEA UMBALI MREFU.

Imetumwa: February 12th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewahimiza Waheshimiwa Madiwani na Halmashauri kuangalia namna ya kuwasaidia Wanafunzi wa shule za Sekondari wanaotembea umbali mrefu ikiwemo kujenga mabweni na vibweta vya kujisomea nyakati za Mitihani ili kupunguza adha ya wanafunzi ambao hawafiki Shuleni kutokana na kutembea umbali mrefu.

Amesema hayo katika kikao cha Baraza la Madiwani kilichofanyika mwanzoni mwa mwezi Februari, 2023, katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko.

Col.Mallasa alieleza kuna umuhimu wa kuwasaidia ikiwa ni pamoja na kuwajengea mabweni Wanafunzi kwani wanapata changamoto ya kutembea umbali mrefu  wakati huo hali ya hewa si rafiki na mvua zinaendelea kunyesha hivyo kujikuta hawawezi kuhudhuria siku zote za masomo yao.

Aidha alihimiza kuwa kila Shule inatakiwa kutoa huduma ya chakula kwa wanafunzi angalau mlo mmoja kwa siku, hivyo Wazazi/Walezi wanao wajibu wa kuchangia chakula Shuleni ili Watoto wapate huduma ya chakula na kusisitiza kila Shule iwe na shamba darasa kwa ajili ya kulima mazao ya Chakula na kila mwanafunzi apande angalau mti mmoja wa matunda ili Watoto wawe na afya bora.

Aliongeza kuwa jamii bado ina mwamko duni juu ya umuhimu wa Elimu kwani mpaka sasa katika zoezi la uandikishaji wa wanafunzi wa darasa la awali na darasa la kwanza Wilaya ya Kakonko bado haijafikisha asilimia 100% hivyo Watendaji wa Kata na Vijiji, Maafisa Elimu Kata pamoja na Walimu wakuu wa Shule wahakikishe Watoto wote ambao wamefikia umri wa kuanza Shule waandikishwe na uhamasishaji juu ya umuhimu wa Elimu uendelee kufanyika kwa wananchi.

 “Sisi Viongozi tumepata fursa ya kuweza kuelewa umuhimu wa Elimu tutumie nafasi hii kuweza kuwaelimisha na wenzetu”, alihitimisha Mkuu wa Wilaya Col.Mallasa.

Wilaya ya Kakonko ina jumla ya shule za Sekondari 15 ambapo kati ya hizo shule 11 zina hosteli na shule 4 hazina hosteli.

Aidha kwa sasa uandikishaji kwa elimu ya awali na Msingi umefikia 100% na Sekondari 99.5%.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa