• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MFUKO WA JIMBO LA BUYUNGU WAKABIDHI SARUJI 100 ZA UKARABATI WA MADARASA 5 SHULE YA SEKONDARI KASHOZA.

Imetumwa: May 9th, 2023

Mheshimiwa Aloyce John Kamamba Mbunge wa Jimbo la Buyungu kupitia fedha za Mfuko wa Jimbo la Buyungu amechangia mifuko 100 ya saruji yenye thamani ya Tshs. 5,000,000/= (Milioni Tano) kwa ajili ya ukarabati wa vyumba (5) vitano vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Kashoza.

 Akizungumza kwa niaba ya Mbunge mwanzoni mwa mwezi Mei, 2023, Bwana Eliud Jackson ambaye ni katibu wa Mbunge ameeleza kwa mwaka wa fedha 2022/2023 Mfuko wa jimbo umechangia Mifuko 100 ya Saruji katika Shule ya Sekondari Kashoza kwa ajili ya ukarabati wa miundombinu ya madarasa ambayo imechakaa ili kuboresha mazingira salama ya kujifunzia kwa Wanafunzi.

Aidha Mhe. Kamamba ameagiza uongozi wa Shule kwa kushirikiana na Mhe. Diwani wa kata ya Nyabibuye, Afisa Elimu Kata, Mtendaji wa kata na kijiji pamoja na Wananchi kuhakikisha wanasimamia rasilimali zote ili zitumike kama zilivyopangwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Shule ya Sekondari Kashoza, Shukran Selege Nyaminya alieleza amefurahishwa na kitendo ambacho amekifanya Mhe. Mbunge kupitia mfuko wa Jimbo na anamshukuru kwa jitihada hizo kwa kuchangia saruji mifuko 100 ambazo zitasaidia kukarabati madarasa matano yaliyochakaa, pia anaahidi madarasa hayo yataanza kutumiwa na wanafunzi pindi yatakapokamilika kukarabatiwa.

Naye Ndugu Samwel Alfred, Afisa Elimu Kata Nyabibuye alieleza katika kata ya Nyabibuye hali ya miundombinu iko vizuri lakini baadhi ya Shule zina changamoto ya miundombinu chakavu moja wapo ikiwa ni Shule ya Sekondari Kashoza hivyo kupitia mfuko wa jimbo la Buyungu ambao Mwenyekiti wake ni Mhe. Aloyce Kamamba anamshukuru kwa mchango wake kwani wanafunzi watakuwa wanajifunza katika mazingira salama na kuahidi kusimamia mradi huo kwa ufanisi ili kufikia malengo.

Edison Kilishahu, Mwanafunzi wa kidato cha nne Shule ya Sekondari Kashoza amemshukuru Mbunge wa Jimbo la Buyungu kwa kupeleka mifuko ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa madarasa kwani walikuwa wakibanana  madarasani hivyo uboreshwaji wa miundombinu hiyo utawasaidia kuwa na mazingira rafiki ya kujifunzia  na wameahidi kuitunza miundombinu hiyo.

Wajumbe wa mfuko wa jimbo wamekabidhi vifaa mbalimbali katika Kata ya Nyamtukuza, Nyabibuye na Gwarama vyenye thamani ya Tshs. 77,136,000/= kukamilisha miradi iliyofadhiliwa na mfuko wa jimbo la Buyungu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • HALMASHAURI KUU YA WILAYA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) YA KAKONKO YAPONGEZA UWAJIBIKAJI NA UTENDAJI KAZI MZURI WA KAZI KWA VIONGOZI.

    May 14, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KAKONKO

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa