• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MILIONI 142 ZATUMIKA KUJENGA BWENI LA WASICHANA KAKONKO.

Imetumwa: March 2nd, 2025

Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) imekabidhi rasmi mradi wa bweni la wasichana lenye uwezo wa kuchukua wanafunzi 120 katika shule ya sayansi ya wasichana Kakonko iliyopo kata ya Kanyonza Wilayani Kakonko.

Akikabidhi bweni hilo lenye thamani ya Tsh.142,934,332 kwa Uongozi wa Halmashauri na shule, Paul Kawawa, Afisa Miradi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) ameeleza kuwa bweni hilo limejengwa kwa viwango ili kuboresha mazingira ya kujifunza na kuchochea maendeleo ya elimu kwa wasichana.

“Nawaomba walimu, wanafunzi pamoja na jamii nzima kwa ujumla kuhakikisha bweni hili linatunzwa kwa manufaa ya wanafunzi wa sasa na wa baadae”, Alisisitiza Bwana Kawawa.

Aidha ameendelea kusema kuwa ujenzi huo ni juhudi za Serikali kwa kushirikiana na mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) katika kuendelea kuboresha miundo mbinu ya elimu na kuhakikisha wanapata mazingira salama na rafiki ya kujifunza.

Kwa upande wake Makamu Mkuu wa Shule ya Wasichana Kakonko, Alex Kagoma, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hasan, kwa kuendelea kuweka mipango madhubuti kuhakikisha wasichana wanapata elimu ipasavyo.

Aidha ameongeza kuwa Serikali imeitendea haki Wilaya ya Kakonko kwa kujenga miundo mbinu ya kielimu na kupunguza changamoto ya wanafunzi wengi kuacha shule kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kutembea umbali mrefu.

Naye Elumva Juma, Mwanafunzi wa kidato cha Tatu,Shule ya wasichana Kakonko, ameishukuru mamlaka ya elimu Tanzania (TEA) kwa kufanikisha ujenzi wa bweni litakalowasaidia kuongeza ufaulu kwa wanafunzi wa kike hivyo kuahidi kulitunza bweni hilo kwa ajili ya kizazi kijacho.

Mhe.Alfred Elias, Diwani wa Kata ya Kanyonza ameeleza kuwa miaka ya nyuma wazazi walikuwa wakihangaika kupeleka wanafunzi shule zilizopo nje ya Halmashauri lakini baada ya Serikali kujenga shule hiyo na bweni kwa sasa wanafunzi wanapata elimu katika mazingira rafiki hivyo wanategemea miaka ijayo watapata wasomi wengi hususani wa sayansi na kuwa chachu ya maendeleo kwa jamii.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa