• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 18.3 KUANGAZWA NA MWENGE WA UHURU 2023 MKOANI KIGOMA.

Imetumwa: August 16th, 2023

CGF (Rtd) Thobias  Andengenye Mkuu wa Mkoa wa Kigoma amewaongoza Wananchi wa Kigoma kupokea Mwenge wa Uhuru 2023 Katika Wilaya ya Kakonko.

Mwenge wa Uhuru umepokelewa katika Shule ya Sekondari Wasichana Kakonko iliyopo katika Kijiji cha Kanyonza Kata ya Kanyonza Agosti 16,2023.

Akipokea Mwenge wa Uhuru CGF (Rtd)  Thobias Andengenye amesema Mwenge wa Uhuru utakimbizwa kilomita 999.8 katika Halmashauri (8) za Mkoa wa Kigoma na Mwenge wa Uhuru utaweka Mawe ya Msingi, Kufungua, kuzindua, kukagua na kutembelea miradi mbali mbali ya kimaendeleo ambayo inatekelezwa na Wananchi, Serikali na Wadau wa Maendeleo waliopo katika Mkoa wa Kigoma.

Mwenge wa Uhuru utatembelea Jumla ya Miradi 66 yenye Thamani ya Shilingi Bilioni 18.3. Miradi (21) itazinduliwa, Miradi (3) itafunguliwa, miradi (19) itawekewa Mawe ya Msingi, Miradi (21) itatembelewa na kukaguliwa na miradi (2) ni shughuli za kugawa Chakula na Vyombo vya usafiri kwa Watendaji wa Kata na Chakula cha Lishe kwa Watu wanaoishi na VVU.

Ameendelea kusema miradi hiyo inahusisha miradi ya Sekta ya Afya, Elimu, Maji, Ujenzi wa Barabara, Kilimo, Hifadhi ya Mazingira na uwezeshaji wa Vikundi vya Vijawa na Wanawake Kiuchumi.

Aidha Mwenge wa Uhuru Mkoani Kigoma utakagua na kushuhudia kazi na Afua zinazotekelezwa katika Mkoa ili kudhibiti Malaria, VVU na Mapambano Dhidi ya Dawa za Kulevya na Rushwa.

Katika Hatua Nyingine CGF (Rtd) Andengenye amesema Mkoa wa Kigoma umetekeleza ujumbe wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 ambao unasema  Mabadiliko ya Tabia ya Nchi Hifadhi ya Mazingira na Utunzaji wa Vyanzo Vya Maji kwa kupanda Miti Zaidi ya  Milioni Kumi (10) na kupitia mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Miti Elfu Nne Mia Mbili na Tatu inatarajiwa kupandwa katika maeneo mbali mbali ya Mkoa wa Kigoma.

Aidha CGF (Rtd) Andengenye amesisitiza Mwenge wa Uhuru ni  Nguzo muhimu na Unachochea Maendelea ya Watanzania kwa kudumisha Haki, Uwazi, Umoja na Mshikamano na Kuwahimiza Watendaji wa Serikali kuendelea kusimamia miradi ya Maendeleo inayoletwa na Serikali kwa kuweka uzalendo mbele kwa manufaa ya  Taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa