• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MIRADI YENYE THAMANI YA SHILINGI BILIONI 2.6 IMETEMBELEWA NA MWENGE WA UHURU 2023 WILAYA YA KAKONKO.

Imetumwa: August 17th, 2023

Mwenge wa Uhuru 2023 umeangaza Jumla ya miradi 9 yenye thamani ya Shilingi Bilioni 2,648,920,128 na Klabu moja ya Wapinga Rushwa Wilayani Kakonko Agosti 16,2023.

Mwenge wa Uhuru 2023 umekimbizwa kilomita 170.9 ndani ya Wilaya ya Kakonko na Mwenge wa Uhuru umezindua miradi (2), umefungua miradi (2), umeweka Mawe ya msingi  Miradi (3),  umetembelea miradi (2), umekagua na kutembelea Klabu ya Wapinga Rushwa Shule ya Sekondari Buyungu  Kata ya Kiziguzigu.

Miradi hiyo yenye manufaa Makubwa Kwa Wananchi inajumuisha Miradi ya Elimu, Afya, Utawala, Barabara na Biashara.

Miradi hiyo ni Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa (8) na Ofisi (3) za Walimu Shule ya Sekondari Wasichana Kakonko Wenye thamani ya Shilingi Milioni 160,000,000 kutoka Serikali Kuu.

Mradi wa Ujenzi wa Kiwanda cha Mkaa Mbadala cha kikundi cha Vijana Kijiji cha Itumbiko wenye thamani ya Shilingi Milioni 35,422,141 ambapo kati ya fedha hizo Shilingi 33,872,142 ni kutoka katika Shirika la kuhudumia Wakimbizi Denmark (DRC) na Shilingi 1,050,000 ni mchango wa Wanakikundi na Shilingi 500,000 ni Mchango wa Halmashauri.

Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kakonko-Itumbiko yenye kiwango cha Lami Kilomita 1.2 wenye thamani ya Shilingi Milioni 950,000,000.

Mradi wa Shamba la Miti Kijiji cha Kiga Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 30,886,197 ambapo Shilingi Milioni 29,280,000 ni fedha Kutoka TASAF na Shilingi 1,606,185 ni Mchango wa Halmashauri ya Kijiji.

Mradi wa Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Ilabiro Wenye thamani ya Shilingi Milioni 297,711,802 ambapo Shilingi Milioni 295,141,802 ni ufadhili kutoka Shirika la World Vision Tanzania na Shilingi 2,570,000 ni mchango wa Wananchi.

Mradi wa Ofisi ya Afisa Tarafa Kata ya Kasanda Wenye Thamani ya Shilingi Milioni 166,400,000 ambapo Shilingi 165,000,000 ni kutoka Serikali Kuu na Shilingi 1,400,000 ni Mchango wa Wananchi.

Mradi wa Kikundi Azimio Kiziguzigu chenye thamani ya Shilingi  8,500,000 ambapo shilingi 8,000,000 ni mkopo wa asilimia 4 ya mapato ya ndani ya Halmashauri na Shilingi 500,000 ni mchango wa wanakikundi.

Mradi wa ujenzi kituo cha Mafuta Glory to God Oil wenye thamani ya  Shilingi Milioni 300,000,000.

Aidha miradi yote imepitishwa  na Mbio za Mwenge wa uhuru 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa