• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA AWATAKA WAFANYABIASHARA KUWEKEZA KWENYE BIASHARA NA KILIMO.

Imetumwa: October 7th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col. Evance Mallasa, amewataka wafanyabiashara Wilayani Kakonko kuwekeza katika sekta ya biashara na kujikita katika kilimo cha mazao ili kuhakikisha Wilaya ya Kakonko inapiga hatua katika Sekta ya biashara na uwekezaji kwani maeneo ya uwekezaji ni mengi.

Akizungumza na wajumbe wa baraza la biashara katika kikao kilichofanyika Ijumaa Oktoba 06, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko ameeleza kuwa kikao cha baraza la biashara kinalenga kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoleta maendeleo na kutatua changamoto za wafanyabiashara.

Kwa upande wake Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Afisa Kilimo Dr.Godfrey Kayombo, aliwasilisha fursa za uwekezaji katika maeneo mbali mbali ya kilimo na  mifugo na kueleza kuwa  Halmashauri imetenga kiasi cha fedha 3,000,000/= kutoka kwenye mapato ya ndani kwa ajili ya kununua mbegu bora za mpunga kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ili kuchochea biashara na uchumi katika Wilaya ya Kakonko.

Ameendelea kusema kuwa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kwa Kushirikiana na wadau wa sekta ya kilimo na mifugo inaendelea kuendesha mafunzo kwa wakulima kwa njia ya mashamba darasa ambapo kwa mwka huu wa fedha 2023/2024 wanategemea kuwa na mashamba darasa 57 ya kilimo cha Mahindi, Alizeti, Maharage, viazi lishe, Muhogo na Karanga  kwa kata zote ndani ya Wilaya ya Kakonko pamoja na mashamba darasa 24 ya ufugaji wa kuku katika kata ya Katanga, Kasanda, Nyabibuye na Nyamtukuza.

Wafanyabiashara wamemshukuru Mkuu wa Wilaya ya Kakonko kuendelea kuwashirikisha katika Baraza la biashara na wameomba kuendeleza ushirikiano katika sekta binafsi na sekta ya umma na kuwaomba wataalamu kuwa karibu na wakulima kwa ajili ya kuendelea  kutoa elimu na kuwasogezea pembejeo za kilimo.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndg. Michael Faaray, amewaomba wafanyabiashara kuhudhuria vikao vya ngazi ya Kitongoji, Kijiji na Kata ili kutoa changamoto zao kwa lengo la kufikisha katika ngazi ya Halmashauri kwani Halmashauri imejipanga kufanya mambo mbalimbali kwa ajili ya kukuza uchumi ndani ya Wilaya ya Kakonko.

Baraza la biashara la Wilaya ya Kakonko limewakutanisha Viongozi wa Serikali Wakuu wa Idara na Vitengo pamoja na wadau wa biashara ambao ni wafanya biashara wa Wilaya ya Kakonko.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa