• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA KAKONKO AWATAKA TANROADS KUZINGATIA UTOAJI WA FIDIA KWA WANANCHI.

Imetumwa: January 18th, 2023


Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewataka Wakala wa barabara (TANROADS) Mkoa wa Kigoma kuzingatia utoaji wa fidia kwa Wananchi watakaopitiwa na mradi wa barabara ya lami wakati wa kufanya tathmini za maeneo ya Wananchi wa Kata ya Mugunzu iliyopo Wilayani Kakonko.

Amesema hayo wakati akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika Kata ya Mugunzu  Wilayani Kakonko kiijiji cha Kiduduye, Kiniha, Nyagwijima na Mugunzu wakati wa ziara yake Januari 16-17,2023, amewasisitiza wakala wa barabara kuhakikisha wanazingatia utoaji wa fidia kwa wakati kwa Wananchi ambao watapitiwa na mradi wa ujenzi wa barabara.

Ameendelea kusema mradi wa ujenzi wa barabara utasaidia kuwepo kwa fursa mbalimbali za ajira kwa vijana wa Kata ya Mugunzu ambazo zitawasaidia kujiimarisha kiuchumi. Hivyo barabara itakapokamilika kwa kiwango cha lami usafiri na usafirishaji utakuwa rahisi na maendeleo yatapatikana kwa kiwango cha juu.

Aidha ametoa angalizo kwa wananchi wa Kata ya Mugunzu kuwa makini wanapokua barabarani ili kuepuka ajali zitakazoweza kusababisha ulemavu wa kudumu au kupoteza Maisha wakati ujenzi utakapoanza

Kanali Mallasa ameishukuru Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.  Samia Suluhu Hassan kwa juhudi zake za kuendelea kujenga na kuimarisha miundombinu ya ujenzi wa barabara, madarasa na nyumba za walimu.

Kwa upande wake mthamini kutoka TANROADS Mkoa wa Kigoma ndugu Mihayo Ezekiel amesema lengo la utoaji Elimu ni kuutambulisha mradi kwa wananchi wa kata ya Mugunzu na kutambua taratibu za utoaji wa fidia kwa Wananchi ambao mradi utapita katika maeneo yao, hivyo amewaomba Wananchi kuupokea mradi huo kwani utaleta mabadiliko chanya kwa kutoa fursa za ajira na kuraisisha shughuli za kibiashara kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Wananchi wa Kata ya Mugunzu wameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupeleka mradi wa  barabara ambayo itajengwa kwa kiwango cha lami kutoka  Kibondo kupitia Mugunzu mpaka Mabamba kwani  itawasaidia katika shughuli  za kiuchumi hasa biashara kwani shughuli kubwa ya wana Mugunzu ni  kilimo hivyo itakuwa rahisi kusafirisha mazao kwenda Sokoni kwa wakati nakupelekea kukua kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • HALMASHAURI KUU YA WILAYA YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) YA KAKONKO YAPONGEZA UWAJIBIKAJI NA UTENDAJI KAZI MZURI WA KAZI KWA VIONGOZI.

    May 14, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI KAKONKO

    May 13, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa