• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

PLAN INTERNATIONAL YAPONGEZWA KWA KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU KWA MTOTO WA KIKE WILAYANI KAKONKO.

Imetumwa: May 4th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndaki Stephano Mhuli amelipongeza shirika la Plan International kupitia mradi wa KAGIS (Keeping Adoloscent Girls in School) linalofanya kazi  katika Wilaya ya Kakonko kwa kuendelea kutoa mchango wao ili kuhakikisha mtoto wa kike anapata elimu katika mazingira salama.

Amesema hayo ofisini kwake leo Alhamisi Mei 04, 2023 baada ya kuwapokea wawakilishi wa Shirika la ‘Plan International’ waliofika ili kutoa mrejesho wa miradi wanayoitekeleza ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko.  

Mkurugenzi Ndaki ameeleza kuwa shirika la Plan International limejenga vyoo na kuweka chumba maalum kwa ajili ya watoto wa kike katika kata 03 ambazo ni Kasanda, Kiziguzigu na Gwanumpu.

Aidha shirika limetoa taulo za kike zaidi ya 1700 kwa mwaka 2022 katika shule za msingi na Sekondari kwa wanafunzi wa kike ili waweze kujikimu na kuendelea na masomo.

Mkurugenzi Mtendaji ameongeza kuwa Shirika limewafundisha watoto wa kike namna ya kutengeneza taulo za kike wao wenyewe kwenye mazingira yao na njia za kutunza na kuweza kuzitumia tena.

“Kwa hiyo tunawapongeza kwa namna ya pekee ambao wameendelea kuunga mkono jitihada mbalimbali ya Serikali yetu ya awamu ya sita ili kuhakikisha watoto wetu wanapata huduma bora”, Alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Aidha Mkurugenzi Ndaki ameeleza kuwa Shirika limegawa baiskeli zaidi ya 100 kwa wanafunzi wa kike wa Sekondari ambao wanatoka umbali mrefu kutoka nyumbani kuelekea shuleni hivyo kuwasaidia wanafunzi kufika mapema shuleni na kuokoa muda wa kutembea na kuwapa fursa kupata elimu bora zaidi.

Aidha shirika limetoa vocha 350 kwa Wanafunzi wa shule za msingi hivyo kuwasaidia watoto kupata sare za shule, vitabu, viatu na vifaa mbalimbali vya kujifunzia.

“Elimu inayotolewa inawahamasisha watoto wapende shule na kukemea utoro kwa watoto na kitendo cha baadhi ya wazazi kutopenda elimu”, Aliongeza Mkurugenzi Ndaki.

Kwa upande wa miradi, Mkurugenzi Ndaki amewapongeza shirika la ‘Plan International’ kwa kutumia mfumo wa force akaunti hivyo kutekeleza miradi ya ujenzi kwa gharama nafuu na kutoa ajira wakazi wa maeneo husika hivyo kuendana na falsafa ya Serikali ya kutumia mfumo wa force akaunti.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II June 23, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II. June 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - WAKUSANYA MAPATO 26 June 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI. June 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

    June 04, 2025
  • UZINDUZI WA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANANCHI WAFANYIKA WILAYANI KAKONKO.

    June 03, 2025
  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa