• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

SEMINA ELEKEZI YA KUWAJENGEA UWEZO WASIMAMIZI NA WAWEZESHAJI WA PROGRAMU YA IPOSA.

Imetumwa: February 5th, 2023

Watalamu mbali mbali kutoka kutoka Wilaya ya Kakonko, Kibondo, Kasulu na Kasulu Mji Mwanzoni mwa mwezi February 03,2023 wamekutana katika Ukumbi wa Fitina lay uliopo katika Halmashauri ya Mji Wilayani Kasulu katika Mafunzo ya siku moja kwa lengo la kuwajengea uwezo Wasimamizi na Wawezeshaji wa Programu ya IPOSA.

Wajumbe waliohudhuria Mafunzo hayo ni pamoja na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri husika, Maafisa Elimu Msingi, Maafisa Mipango, Maafisa ugavi na Manunuzi, Maafisa maendeleo ya jamiii, Wadau wa Elimu, Viongozi wa Taasisi, Viongozi wa Mashirika ya yasiyo ya kiserikali pamoja na wathibiti ubora wa Shule.

Mgeni rasmi wa Mafunzo hayo Kanali Isack Mwakisu Mkuu wa Wilaya ya Kasulu wakati alipokaribishwa kufungua mafunzo alieleza programu ya IPOSA inaleta tija kwa vijana kwa sababu vijana wanapofundishwa kwa vitendo ni rahisi kuelewa ukitofautisha na wanavyofundishwa darasani kwani unaweza ukawa umesoma sana lakini ukashindwa kubadili Elimu yako Kuwa Fedha.

“Niwaombe muendelee kuwasisitiza sana hawa vijana kuingia katika prograamu ya IPOSA kwani vijana wengi wapo mtaani wamekata tamaa kwa sababu mbalimbali najua vijana pia wana mambo ya kutaka kupata hela kwa haraka sana bila ya kufanya kazi kwa muda siyo wavumilivu sana lakini sisi ndiyo tunatakiwa kuwa magari yao ya kuwaongoza, sisi tuwe taa tuwaite tuwaeleweshe ili wajiunge na programu ya IPOSA ili waweze kunufaika na kile Serikali inachokilenga kutoka kwa wadau wetu wa maendeleo. Alisema Mwakisu”  

Aliendelea kusema wawezeshaji na wasimamizi wa programu ya IPOSA ili kuongeza chachu ya usalama wa vijana kufanya kazi na kujiongezea kipato anahimiza wawafundishe vijana hao namna ya kutumia pesa wanazozipata maana wasiwezeshwe tu namna ya stadi za ufundi mbalimbali bali wawafundishe namna ya kutafuta masoko na ujasiliamali.

Naye Dollar Rajabu Kusenge Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kasulu Mji alisema Halmashauri ya Mji Kasulu imekua ikiendesha fani mbambali kwa vijana ambao wako nje ya mfumo rasmi wa Elimu na yeye ni shahidi wa matokea chanya na makubwa kutoka katika programu ya IPOSA kwa vijana ambao wapo katika programu hiyo.

Aidha aliwashukuru sana wadau wa mbalimbali wa programu ya IPOSA na kuwaomba kuwasaidia vijana ambao wanahitimu mafunzo ya IPOSA na Vyuo vingine vya ufundi kuangalia namna ya kuwawezesha kupata mashine za kisasa wakati wanapokuwa wanajifunza.

Kwa upande wake Siafu Sempeho Mratibu wa Mradi wa programu ya IPOSA Nchini ameeleza kuwa programu ya IPOSA imeanzishwa na Serikali kwa malengo ya kutoa fursa ya Elimu kwa vijana ambao wako nje ya mfumo rasmi wa Elimu. Vijana hao ni wale ambao hawana ujuzi wowote kwani wanafundishwa stadi mbalimbali za Elimu, ufundi, ujasiliamali pamoja na stadi za maisha.

Aidha alieleza kazi ya Wasimamizi na wawezeshaji wa vituo vya programu ya IPOSA ni kuwasaidia vijana kutambua fursa ambazo zipo katika maeneo yao pia kuwasaidia kuunda vikundi vya ‘’IPOSA Empowerment Clubs’’kwani vikundi hivyo vinatakiwa kusajiliwa na kutambuliwa kama viwanda vidogo vidogo ili viweze kupatiwa mafunzo.

‘Lengo kuu la programu ya IPOSA ni kuionyesha Dunia kuwa kijana anaweza kutoka mtaani katika makundi ya uhalifu na akajiunga katika programu ya Serikali na kupatiwa mafunzo bure pia baada ya Mwaka mmoja anauwezo wa kusajiliwa katika kikundi.  Alisema Siafu.’’

Mafunzo ya programu ya IPOSA yanaendeshwa na Taasisi ya Elimu ya watu Wazima kupitia Wizara ya Elimu Sanyansi na Teknolojia kwa ufadhili wa Shirika la UNICEF.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa