• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

SHIRIKA LA WORLD VISION LAKABIDHI MIRADI YENYE THAMANI YA TSHS.1,067,031,234/= (BILIONI MOJA NA MILIONI SITINI NA SABA)WILAYA YA KAKONKO.

Imetumwa: August 11th, 2023

Mratibu wa Miradi ya Kasanda na Nyaronga Area Programme Bi.Bertha Mtesigwa kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu Shirika la World Vision Ndg. James Angawa Anditi na Meneja wa Shirika la World Vision Tanzania Kanda ya Kigoma Ndg.Mkama Nangu amemkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mesha Mallasa  miradi (13) katika sekta ya Afya na Elimu yenye thamani ya Tshs.1,067,031,234/= (Bilioni Moja na Milioni sitini na Saba) katika hafla fupi ya makabidhiano  iliyofanyika katika kata ya Nyamtukuza kijiji cha Churazo leo Agosti 11,2023.

Bi. Bertha ameeleza miradi hiyo ilianza kutekelezwa mwaka 2021-2022 ambayo ni Zahanati ya Chilambo kwa gharama ya Tshs. 157,000,000/=, ukarabati wa Jengo la OPD Nyanzige kwa gharama ya Tshs.145,000,000/=, Vyoo matundu 12(6 ke, 6me)shule ya msingi katanga. kwa gharama ya Tshs.68,000,000/=, Zahanati ya Ilabiro OPD,RCH,Maternity and Delivery unity kwa gharama ya Tshs.207,286,687/=, Matundu (4) ya vyoo Zahanati ya Ilabiro kwa gharama ya Tshs.27,794,546/=,Zahanati ya Churazo OPD,RCH,Maternity and Delivery unity kwa gharama ya Tshs.209,276,132/=, Matundu (2) ya Vyoo Zahanati ya Churazo kwa gharama ya Tshs. 20,723,868/=, Incenerator na Placenta Pit Zahanati ya Ilabiro na Incenerator na Placenta Pit vinawia mikono na mabomba ya maji 4 Zahanati ya Churazo kwa gharama ya Tshs. 31,424,580/=, Wodi ya Wazazi Nyamtukuza kwa gharama ya Tshs. 65,110,630/=, Vyoo matundu (8)Shule ya Msingi Keza kwa gharama ya Tshs.52,697,534/=, Vyoo Matundu (8) Shule ya Msingi Nyanzige kwa gharama ya Tshs.52,747,534 na Mabomba ya maji (10) shule ya msingi Nyanzige kwa gharama ya Tshs.19,969,723/=.

Bi.Bertha ameushukuru uongozi wa Wilaya na Halmashauri kwa ushirikiano walioutoa kwani mara baada ya miradi kukamilika ilianza kutumika kusaidia jamii.

Aidha  Bi. Bertha ameeleza mwaka huu 2023 Shirika la World Vision limekabidhi Vifaa tiba kwa Mganga Mkuu  Vyenye thamani ya Milioni Tisini na mbili na samani (funiture) zenye thamani ya Milioni Ishirini na tatu kwa ajili ya kutumika katika zahanati (4).

Shirika la World Vision pia limetoa Bima za Afya za CHF kwa familia 1000 kwa kanda ya Kasanda na Nyaronga na Bima hizo zinafanya kazi.

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Kanali Evance Mesha Mallasa ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa Kutoa kibali kwa mashirika kufanya kazi Tanzania na amelipongeza Shirika la World Vision kwa kujenga miradi yenye viwango na kwa gharama kubwa na kuwasihi kuendelea kusaidia na maeneo mengine yenye changamoto kwani bado yapo lakini pia Serikali ya Tanzania inaendelea na jitihada za kuboresha miundombinu na huduma kwa kuleta watumishi katika Sekta za Afya na Elimu.

Kanali Mallasa amewataka Wananchi kutumia miundombinu hiyo kupata huduma bora na kuepuka kutumia tiba asilia bali wafike katika zahanati kupata huduma za uzazi na matibabu.

Vile vile amewasisitiza  Wananchi na wanafunzi kutunza na kulinda miundombinu hiyo kwa kufanya usafi  ili kuepuka magonjwa ya mlipuko na kutunza mazingira.

Katika hatua nyingine Bi. Isabella Mwakabonga Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Kakonko amelishukuru shirika la World Vision kwa kujenga vyoo katika shule zilizokuwa na changamoto ya matundu ya vyoo pia ameliomba shirika likipata nafasi lisaidie kujenga nyumba za watumishi.

Diwani wa Kata ya Nyamtukuza amelipongeza Shirika la World Vision kwa kujenga miradi hiyo na kuwasisitiza wananchi kuitunza na kuilinda moundombinu hiyo ili iwasaidie.

Paulina Renatus  Mwananchi wa Kata ya Nyamtukuza ameeleza analipongeza Shirika la World Vision kwa kuwajengea wodi ya wazazi karibu na makazi yao kwani kabla ya hapo walikua wanapata huduma mbali, hivyo wamefurahi sana na amewaasa wanawake wenzake wanaojifungulia nyumbani na kwa waganga wa jadi waache tabia hiyo na wafike katika zahanati kujifungua kwani kwa sasa huduma zinapatikana bila shida.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa