• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

SOKO LA DHAHABU KAKONKO LAFUNGULIWA RASMI KUANZA KAZI YA UNUNUZI WA MADINI

Imetumwa: June 4th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mesha Mallasa amewahimizia wananchi kujitokeza kufanya biashara ya madini  kwa uhalali ili kukuza uchumi wa mtu binafsi na nchi kwa ujumla na kutoa pongezi kwa Serikali kwa kutoa vifaa ambavyo vimewezesha soko la madini kuanza rasmi kazi ya kununua madini kuanzia tarehe 30.05.2022. 

Akimkaribisha mfanyabiashara mpya wa madini (dealer) Injinia Hamenya Bichuro atakayekuwa ananunua madini kwenye Soko la dhahabu la Mkoa ambalo ofisi zake zipo Kakonko Col.Evance Mallasa amewahakikishia ulinzi wananchi na wafanyabiashara wa madini kwa ujumla wakati watakapokuwa wakifanya biashara ya madini.

“Serikali ya Mama Samia ni Serikali Sikivu, muda mrefu tulikuwa tumekosa vitendea kazi hivyo kutulazimu kufunga soko la awali, lakini kwa sasa Serikali imetoa vifaa, hivyo ‘dealer’ ataweza kufanya kazi vizuri, ‘Niwakaribishe wafanyabiashara wa Nchi Jirani Burundi, Rwanda na Congo kutumia fursa ya soko la dhahabu kuuza bidhaa zao za madini ya dhahabu”. Alisema Mwenyekiti wa kamati ya Usalama ya Wilaya Col.Mallasa.

Akimtambulisha ‘dealer’ mpya wa madini, Mhandisi kutoka Ofisi ya Madini Kigoma Bwana Orani Williad Mwashambwa amesisitiza Mfanyabiashara huyo ni kama mmea hivyo kuomba alindwe ili kuzuia mianya yote ya utoroshwaji wa Madini katika Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma ili madini yote yapelekwe Sokoni na kununuliwa kwa Uhuru kupitia soko la dhahabu lililopo Wilayani Kakonko.

Naye Mkaguzi Msaidizi wa Madini ambaye ndiye msimamizi wa Soko la Dhahabu Wilaya ya Kakonko Bwana Ishengoma Deogratius alieleza kuwa Soko la Dhahabu lilisimama kidogo kutokana na changamoto ya mashine ambapo hapo mwanzo walikuwa wakitumia vifaa vya ‘dealer’ yaani mfanyabiashara wa madini ambaye anaweka mtaji wake katika dhahabu kisha kununua dhahabu zinazoletwa na wafanyabishara ambapo baadaye aliondoka hivyo soko hilo kufungwa kwa miezi 10. Hivyo Ofisi ya Madini Waliamua kuomba Mashine hiyo na walifanikiwa kupata.

“Mpaka sasa ‘dealer’ amekata leseni na shughuli zimeanza rasmi tarehe 30/05/2022. Aidha mizigo yote ya Dhahabu katika Mkoa wote wa Kigoma pamoja na Nchi Jirani za Burundi, Rwanda na Congo zitakua zinauzwa katika Soko la Dhahabu Wilayani kakonko”. Alieleza bwana Ishengoma.

Tukio la ufunguzi rasmi wa soko la Kakonko baada ya kumpata mfanyabiashara mpya atakayekuwa ananunua madini limefanyika katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya kisha ukaguzi kufanyika katika Jengo la Soko la madini ya dhahabu la Mkoa lililopo Wilayani Kakonko na kushuhudiwa na Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Buyungu Mhe.Aloyce Kamamba, Magreth Manamba fundi sanifu kutoka ofisi ya madini ya Mkoa wa Kigoma na Bwana Riud Bihurumba Mhasibu kutoka ofisi ya Madini ya Mkoa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa