• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

TSHS.1,457,800,000 KUTUMIKA KATIKA UJENZI WA MIUNDO MBINU YA SHULE KUPITIA MRADI WA BOOST.

Imetumwa: April 27th, 2023

Timu inayosimamia mradi wa BOOST Wilayani Kakonko imefanya zoezi la kukagua na kutambua  maeneo ya ujenzi wa Shule mbili (2) Mpya za Msingi, vyumba vya madarasa (20), Madarasa mawili (2) ya Mfano ya Elimu ya Awali, Nyumba Moja ya mwalimu na Matundu 15 ya vyoo kwa gharama ya Tshs.1,457,800,000 (Billioni Moja Millioni mia nne hamsini na saba na laki nane) kupitia Mradi wa BOOST.

Akiongoza timu hiyo Mratibu wa Mradi, Ndugu Erick Kudra ambae ni Afisa Elimu Msingi Vifaa na Takwimu akiambatana na Mhandisi wa Ujenzi, Afisa Mipango na Takwimu, Mthibiti ubora wa Shule, Afisa Usafi na Mazingira, Afisa Maendeleo ya Jamii, Afisa Ustawi wa Jamii pamoja na wajumbe wa kamati za ujenzi katika Shule husika wamekagua na kutambua  maeneo ya ujenzi huo mwishoni mwa mwezi Aprili, 2023.

Shule hizo mbili (2) Mpya za Msingi zenye mkondo mmoja  zitajengwa katika kata 2 ambazo ni Kata ya Kasanda Kijiji cha kazilamihunda na ujenzi  utagharimu kiasi cha Fedha Tshs.361,500,000 na Shule ya Pili itajengwa katika Kata ya Nyamtukuza kijiji cha Nyamtukuza na ujenzi utagharimu kiasi cha fedha Tshs.361,500,000.

Aidha kutakuwa na ujenzi wa vyumba vya madarasa (20) katika Shule ya Msingi Gwarama vyumba (4), Shule ya Msingi Bukirilo vyumba (4) , Shule ya Msingi Kigarama vyumba( 4), Shule ya Msingi Nyamwironge  vyumba (4) na Shule ya Msingi Kavungwe vyumba (4) ambavyo vitagharimu jumla ya Fedha Tshs.520,000,000.

Vilevile kutakuwa na ujenzi wa Madarasa mawili (2) ya Mfano ya Elimu ya Awali katika Kata ya Gwarama Shule ya Msingi Gwarama na ujenzi utagharimu kiasi cha fedha Tshs.71, 800,000 na ujenzi wa Nyumba Moja ya mwalimu katika Shule ya Msingi Nyakivyiru utakaogharimu kiasi cha Fedha Tshs.110, 000.000.

Halikadhalika mradi wa BOOST utajenga Matundu ya Vyoo (15) vitakavyogharimu kiasi cha Fedha Tshs.33, 000,000, katika Shule ya Msingi Gwarama Matundu (3), Shule ya Msingi Bukirilo Matundu (3), Shule ya Msingi Kigarama Matundu (3), Shule ya Msingi Nyamwironge Matundu (3), na Shule ya Msingi Kavungwe Matundu (3).

Ujenzi huu unatarajiwa kukamilika tarehe 30 Juni, 2023. Mradi wa BOOST unatekelezwa kwa miaka 05 kuanzia mwaka wa fedha 2021/2022 hadi 2025/2026.

Utekelezaji wa mradi wa BOOST unatarajia kuboresha kiwango cha elimu na kutoa fursa za upatikanaji wa Elimu kwa Watoto wa elimu ya awali na msingi sambamba na uboreshaji wa miundombinu ya shule za msingi Tanzania bara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa