• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WAALIMU WASISITIZWA KUTOA ELIMU YA UKATILI WA KIJINSIA KATIKA MAKUNDI YA JAMII..

Imetumwa: February 13th, 2023

Katibu Tawala wa Mkoa wa Kigoma  amewasisitiza Waalimu wa Shule za Msingi  kuendelea kutoa Elimu juu ya masuala ya ukatili wa kijinsia katika makundi yote hasa kwa jamii inayo wazunguka kwani kumekuwa na matukio mbalimbali yanayotokea katika Jamii na Shuleni.

Akiwakilishwa na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Dr.Jesca Lebba katika ziara ya Kamati ya kutokomeza ukatili kwa Mtoto na Wanawake ya Mkoa  iliyofanyika tarehe 07 Februari, 2023  Wilayani Kakonko ambapo alifanikiwa kufika katika Shule ya Msingi Maendeleo na kukutana na Wanafunzi waliojiunga na clabu ya juu ambayo ilianzishwa kwa lengo la kuimalisha Amani, Upendo, Ushirikiano na Kupinga Vitendo vya ukatili wa kijinsia  katika jamii.

Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa Dr.Lebba amewaomba Wanafunzi wa Shule ya Msingi Maendeleo wasiogope kutoa taarifa pindi watakapofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia na  kusisitiza waendelee kuhamasisha na kutoa Elimu kwa wazazi na jamii kwani wanaamini kupitia wao wakielimishwa itakuwa rahisi kufikisha ujumbe kwa Wazazi na jamii kwa Ujumla.

Dr.Lebba ameendelea kusema Vitendo vya ukatili vina madhara makubwa kwani kitendo ambacho anaweza kufanyiwa mtoto kitamuathiri maisha yake yote kwani kuna magonjwa mengi yanayoweza kujitokeza hivyo wajitahidi kuzuia vitendo hivyo na kutoa taarifa mapema.

“Tuendelee kubainisha hivi vitendo bila kuogopa na kuchukua hatua, tuna   mahakama kwa ajili ya haki lakini pia tunaamini njia nzuri ni kuzuia ili vitendo visijitokeze”, Alisema Mwakilishi wa Katibu Tawala Mkoa.

Hata hivyo Dr.Jesca amewasisitiza Waalimu kujitahidi kufungua sanduku la maoni mara kwa mara ikiwezekana kila siku kwani itasaidia kujua changamoto zinazowakabili wanafunzi ili waweze kuzitatua kwa wakati.

Dr.Jesca amewapongeza Waalimu kwa kuanzisha Elimu ya kujitegemea kwani itawajenga wanafunzi wasitegemee kuajiriwa kwani ukatili mwingi unajitokeza kutokana na suala la umasikini katika jamii. Hivyo wakiwajenga mapema itakuwa ni sehemu ya wao kuja kuwa na uchumi mzuri pia itawasaidia kutatua matatizo yote yanayotokea katika Jamii.

Naye Mkuu wa Shule ya Msingi Maendeleo Mwalimu Samsoni Sike amesema kuwa wataendelea kuwaelimisha Wanafunzi juu ya madhara ya ukatili wa kijinsia na ukiukaji wa haki za Mtoto pia watakuwa na mashuhuda shuleni katika kupinga ukatili wa kijinsia.

“Sisi tuko mstari wa mbele ndio maana mnaona vijana wanajitambua na kujua dhana ya ukatili wa kijinsia na majukumu yao wanayafahamu”, Alisema Mwalimu Mkuu.

Mwalimu Sike aliendelea kusema kupitia kikundi hicho wemekuwa wakipata taarifa mbalimbali za ukatili unaotokea katika jamii hivyo wakipata taarifa kama hizo huwa wanasaidia watoto walioathirika na kitendo hicho kwa kuwapatia mahitaji mbalimbali kama vile madaftari, sare za shule na chakula. Hivyo amewaomba kuendelea kusisitiza katika shule mbalimbali waweze kuwa na makundi ikiwezekana kila Shule wawe na makundi kwani itasaidia kupata habari mbalimbali zitakazowasaidia watoto kiakili, kimakuzi na kimalezi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa