• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

MFUKO WA JIMBO WACHANGIA MILIONI 18 KUJENGA SOKO LA NYAMTUKUZA.

Imetumwa: May 9th, 2023
  • MFUKO WA JIMBO WACHANGIA MILIONI 18 KUJENGA SOKO HILO.

Wakazi wa Kijiji cha Nyamtukuza Kata ya Nyamtukuza kilichopo tarafa ya Nyaronga wameeleza kuwa kukosekana kwa soko kumewasababishia adha mbalimbali ikiwemo kunyeshewa na mvua wanapokuwa wakipata mahitaji yao eneo la soko.

Eliana Thobias mkazi wa Kijiji cha Nyamtukuza ameeleza shida kubwa waliyokuwa nayo ni kukosekana kwa soko.

Naye Apolonia Sebastian Mjumbe wa kamati tendaji ameeleza kuwa walikuwa wanahainga mhali pa kuuzia mvua ikinyesha na kueleza kuwa majiyalikuwa yanawafikia mahali wanapouzia.

Bwana Josephat Raphael Kazingo, Mwenyekiti wa wafanyabiashara wa Kijiji cha Nyamtukuza ameeleza kuwa ukamilishaji wa soko utasaidia kuepuka akina mama kunyeshewa bidhaa zao ikiwemo matunda ambayo yalikuwa yananyeshewa na kuingia uchafu hivyo kuomba mazingira ya soko kuboreshwa.

Akitoa mrejesho katika soko la Nyamtukuza mwanzoni mwa mwezi Mei, 2023 kuhusu ujenzi wa soko la Nyamtukuza diwani wa Kata ya Nyamtukuza Mhe.Abdallah Rajabu Maghembe ameeleza kuwa Mhe.Mbunge Aloyce Kamamba kupitia mfuko wa Jimbo amechangia milioni 18 kujenga soko la Kijiji cha Nyamtukuza ili kuondoa kilio cha muda mrefu cha Wananchi kujengewa soko.

“Simenti imeingia mifuko 250, mabati 200 yameingia, tuna kazi ya kupasua mbao tutaenda kuomba kibali, milioni 4 na laki 3 ipo kwenye akaunti, alieleza Mhe.Abdallah Magembe.

Akiwakilisha wajumbe wa mfuko wa jimbo katibu wa mbunge Jimbo la Buyungu Eliud Jackson amewaeleza wananchi kuwa mfuko wa Jimbo umechangia mfiko 250 ya simenti na mabati 200 ili kukamilisha ujenzi wa soko la Kijiji cha Nyamtukuza na kuondoa adha mbalimbali waliyokuwa wana kumbana nayo wananchi ikiwemo kunyeshewa na mvua sokoni hapo.

Katibu ameeleza kuwa mbunge ambaye ni Mwenyekiti wa kamati ya mfuko wa Jimbo kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji amnbaye ni katibu pamoja na wajumbe wa kamati wanatarajia viongozi wa Kijiji kushirikiana kusimamia ujenzi wa soko ili ujenzi ukamilike kufikia mwezi Juni, 2023 na kamati itatembelea eneo hilo kujiridhisha iwapo ujenzi umekamilika.

Wajumbe wa mfuko wa jimbo wamekabidhi vifaa mbalimbali katika kata ya Nyamtukuza, Nyabibuye na Gwarama vyenye thamani ya Tshs.77,136,000 kukamilisha miradi iliyofadhiliwa na mfuko wa Jimbo ambapo Kijiji cha Nyamtukuza ndio kimepewa fedha nyingi zaidi Tshs.18,000,000 ukilinganisha na kata ya Nyabibuye na Gwarama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa