• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU 36 NA WAZAZI 114 WAPATIWA MAFUNZO YA KUFANYA MTOTO WA KIKE KUPENDA MASOMO YA SAYANSI.

Imetumwa: March 15th, 2024

Walimu 36 na wazazi 114 kutoka kata 13 katika Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wameshiriki Mafunzo ya uhamasishaji wa somo la Sayansi, Hisabati na Teknolojia kwa lengo la kuongeza ufaulu na kumfanya mtoto wa kike aweze kusoma na kupenda masomo hayo.

Walimu hao 36 wanaofundisha masomo ya Sayansi na Hisabati pamoja na wazazi 114 wenye ushawishi katika maeneo wanayotoka wameshiriki mafunzo hayo kwa ufadhili wa shirika la UNICEF katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri Machi 13 hadi 14, 2024.

Akifungua mafunzo hayo, Christopher Bukombe, Afisa Elimu Sekondari amewahimiza washiriki wa mafunzo kukaa na watoto wao wa kike na kuwahimiza kupenda masomo ya sayansi ili kufanya vizuri na kuondoa dhana potofu kuwa mtoto wa kiume pekee ndio anaweza masomo hayo.

Octavian Mgaya, kutoka taasisi ya FAWE Tanzania (Forum for African Women Educationalists) na mwezeshaji wa kitaifa kuhusiana na afua mbalimbali zinazosaidia maendeleo ya elimu hasa kwa wasichana ameeleza lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo wazazi na walimu ili wawe sehemu ya uhamasishaji kwa lengo la kuleta mabadiliko chanya kwa watoto wa kike ili kuyapenda na kusoma masomo ya sayansi.

Mwezeshaji Mgaya amewaomba washiriki wa mafunzo kwenda kutoa elimu kwa jamii ili kuondokana na mtazamo hasi kwamba mtoto wa kike hawezi kusoma masomo ya sayansi na badala yake wawe sehemu ya kuwafanya watoto wa kike kupenda masomo hayo.

Bi.Christabel Alfani, Afisa Elimu kata Manispaa ya Iringa ambaye ni mmoja wa wawezeshaji wa mafunzo, alieleza kuwa kutokana na ufaulu mdogo Serikali kwa kushirikiana na Shirika la UNICEF walijadili namna gani ya kumwezesha mtoto wa kike aweze kufaulu masomo hayo na kuyapenda hivyo kuandaa  mafunzo hayo yenye lengo la kuleta mbinu na dhana mbalimbali zitakazotumiwa katika kumwezesha mtoto wa kike kuongeza ufaulu wa masomo ya sayansi.

“Lengo la Serikali na UNICEF tutengeneze wazazi mashujaa wenye ushawishi ili waende wakashawishi na wazazi wengine wahamasishe watoto wetu wa kike waweze kupenda masomo”, alieleza Bi Christabel.

Wilfredy Kayonza, mmoja wa wazazi walioshiriki mafunzo, amewapongeza wadau wanaosimamia mafunzo hayo kwani yanaonyesha kuwajenga hivyo ameahidi kwenda kuyafanyia kazi mafunzo aliyoyapata kwa kuwapa elimu wazazi wenzake ili waweze kuhamamsisha watoto wa kike kupenda na kusoma  masomo ya sayansi.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa