• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WALIMU WAKUU 69 NA MAAFISA ELIMU KATA 13 WAPEWA MAFUNZO YA JUMUIYA ZA UJIFUNZAJI ILI KUONGEZA UMAHIRI WA UFUNDISHAJI.

Imetumwa: January 24th, 2025

Maafisa Elimu Kata 13 pamoja na walimu wakuu 69 wa shule za msingi  wilayani Kakonko wamepatiwa mafunzo ya Jumuiya za ujifunzaji (JEZEKE) yatakayowawezesha kujengeana uwezo wenyewe kwa wenyewe  na kuongeza umahiri wa ufundishaji.

Akifunga Mafunzo hayo, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya kakonko, Bi.Isabella Mwakabonga ameeleza lengo la mafunzo hayo ni kuongeza uwezo wa walimu kufundisha kwa kupeana ujuzi wa ufundishaji wa masomo mbalimbali na kuweka mvuto kwa baadhi ya walimu kupenda kufundisha masomo mengine kutokana na ushuhuda wanaopata kwa walimu wengine kupitia jumuiya za ujifunzaji.

Afisa Elimu Msingi amongeza kuwa TAMISEMI kupitia mradi wa shule bora wamekuwa wakitoa mafunzo kwa walimu kupitia (JEZEKE) ambapo jumuiya hizi zitapunguza changamoto za ufundishaji kwa baadhi ya masomo.

Akitoa ufafanuzi wa namna jumuiya hizo zinavyoendeshwa, Bi.Mwakabonga ameeleza kuwa walimu watakuwa wanakutana siku ya Ijumaa kupeana uzoefu na watatumia muda wa chai wakati wa siku za kawaida kwani jumuiya hizi hazichukui muda mrefu kwani ni endelevu hivyo kuwa moja ya jukumu katika utendaji wao wa kazi wa kila siku.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo, mwalimu Peter Mathias Mvuzwa, Afisa Elimu kata ya Muhange ameeleza kuwa zipo jumuiya mbalimbali za kujifunza ikiwemo walimu, walimu wakuu na maafisa elimu kata hivyo wamefika kujifunza namna ya  kuanzisha jumuiya za ujifunzaji zitakazounganisha walimu wakuu na maafisa Elimu kata.

Ameongeza kuwa jumuiya hizi za walimu wakuu na maafisa elimu kata  inakuwa na  idadi ya walimu wakuu 10 -15 na maafisa elimu kata 2-3 ambazo zinalenga kuimarisha uwezo wa kila kiongozi hasa ngazi ya shule na kata kusimamia zoezi la ufundishaji na ujifunzaji ili kuleta ufanisi katika shule zao.

Mafunzo haya yamefanyika kwa muda wa siku tatu kuanzia tarehe 21-23, Januari, 2025 katika shule ya msingi Kakonko ambapo jumuiya 06 za walimu wakuu na maafisa elimu kata zimeundwa katika Wilaya ya Kakonko na kushirikisha walimu wakuu 69, Maafisa elimu kata 13 na maafisa kutoka ngazi ya Wilaya 04.    

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa