• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WANAFUNZI KIDATO CHA 6 WAONYWA KUTOJIHUSISHA NA WIZI WA MITIHANI.

Imetumwa: March 11th, 2023

Wanafunzi wa kidato cha sita wanaojiandaa kufanya mitihani wamesisitizwa kutokujiingiza kwenye wizi wa mitihani, kutizamiana na mawazo ya udanganyifu bali wamtangalize Mungu na kufanya mitihani kwa kadiri walivyojifunza.

Akiwa mgeni rasmi katika mahafali ya dini ya wanafunzi wa kidato cha sita wa kipentekoste (HUIMA) katika shule ya Sekondari Kakonko mwishoni mwa wiki Machi 10,2023, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndaki Stephano Mhuli ameeleza kuwa watu wanaoibia kwenye mitihani ni hasara kwa taifa kwani watapatikana wasiokuwa na uwezo wa kielimu hivyo kuwa tishio kwa usalama wa nchi.

“Lazima wanafunzi muwe waaminifu, mtangulize Mungu, msome kwa bidii na kuvuna mlichopanda ili Taifa lizidi kusonga mbele na kuinuka, ili waajiriwe watu wenye sifa nzuri wasiwepo vihiyo”, Alisema Mkurugenzi Ndaki,

“Tunasimamia kwa nguvu zetu zote kuhakikisha hakuna wizi ili tupate watu kwa sifa zao na uwezo wao, wafanye kazi wafikirie (critical thinkers), lazima wanafunzi wawe waaminifu ili wanapoajiriwa wafanye kazi”, aliongeza Mgeni rasmi.

Mgeni rasmi Ndaki aliongeza kuwa wanafunzi wanaofaulu kwa kuibia mitihani wakiaajiriwa wanakuwa hawajitumi na hawana uwezo wa kuandaa mpango kazi badala yake wanasubiri kutumwa na bosi na wasipotumwa wanarudi nyumbani bila kufanya kazi hivyo kunakuwa hakuna uzalishaji wenye tija.

Mkurugenzi Ndaki aliendelea kusema kuwa, ‘Mtu hawezi kuishi nje ya maarifa aliyonayo hivyo mwanafunzi anavyosoma kwa bidii ndivyo anavofaulu kwani ndio uwekezaji alioufanya alieleza hakuna muujiza wa kufaulu bila kusoma.

Mkurugenzi Ndaki alimnukuu  Mwalimu Julius Nyerere aliyetolea mfano mtu aliyeaminiwa na kupewa chakula na Kijiji chake ili kwenda Kijiji cha mbali kutafuta chakula lakini alipofika huko hakurudi alieleza kuwa huo ni usaliti ni sawa na  mwanafunzi aliyeaminiwa na wazazi wake wakajinyima na kutoa fedha ili mtoto wao asome lakini mwanafunzi anapofika shuleni hasomi.

Tawi la HUIMA lilianza mwaka 2012 ambap hadi sasa lina wanachama 139 kati yao kidato cha 6 ni 32, kidato cha 5 ni 24, kidato cha 4 ni 18, kidato cha 3 ni 15, Kidato cha 2 ni 20 na kidato cha 1 ni 30.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa