• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Wanafunzi wenye Mahitaji Maalum wapokea msaada wa malazi wa thamani ya Tshs.10,770,480

Imetumwa: March 27th, 2022

Wanafunzi wenye mahitaji maalum wa shule ya Msingi Itumbiko wamepokea msaada wa vifaa ikiwemo magodoro, neti pamoja na blanketi kwa ajili ya bweni lao kutoka shirika la Help age International wenye thamani ya Tshs.10,770,480 siku ya Ijumaa tarehe 25.03.2022.

Akitoa vifaa hivyo kwa niaba ya shirika la Help age International Bwana Abdul Issa ameeleza kuwa shirika limetoa Magodoro 80, blanketi 80 na Neti 80 kwa ajili ya bweni la watoto wenye mahitaji maalum.

“Kipekee tulipokea uhitaji wa vifaa kwa ajili ya malazi kwa ajili ya shule ya msingi Itumbiko na kama shirika la Help Age tuliamua kusaidia juhudi za Serikali kuendeleza elimu kwa kutoa magodoro 80 yenye thamani ya Tshs.6,102,000, Blanketi 80 zenye thamani ya Tshs.2,774,080 na neti 80 zenye thamani ya Tshs.1,894,080 jumla ya vitu vyote ambavyo tumevileta vina thamani ya Tshs. 10,770,480. Tunaamini kwa vitu hivi ambavyo tumevileta vitasaidia katika kufanya ujumuishwaji wa watu wenye mahitaji maalum katika kupata elimu wakiwa na wanafunzi wenzao watajisikia furaha na Amani wakiwa katika mazingira mazuri”. Alisema, Bwana Abdul, Mwakilishi wa Shirika la Help Age International.

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Joseph Mutahaba ameshukuru kwa msaada uliotolewa na Shirika la Help Age International kwa msaada walioutoa na kueleza imekuwa msaada mkubwa. Ameongeza kuwa Shirika hilo hapo awali lilitoa msaada wa baskeli za walemavu 10 hivyo wanatambua mchango wao.

Mwalimu Berda Marko Koko anayewahudumia watoto wenye mahitaji maalum ameshukuru kwa msaada uliotolewa na kusisitiza wadau mbalimbali wasisite kuwahudumia watoto wenye mahitaji maalum.

Pili Sylivester Majaliwa mmoja wa wanafunzi wenye ulemavu anayesoma darasa la nne ameshukuru wote waliojitolea kusaidia watoto wenye mahitaji maalum.

ambalo tayari limeezekwa na kufanyiwa usafi ndani yakibaki mapungufu kadhaa kukamilisha kabla ya kuanza kulitumia.

Halmashauri ilipokea fedha za UVIKO-19 zilizotolewa na Serikali  Tshs.80,000,000 ambazo zimetumika na kuisha.

Ujenzi ulianza tarehe 01/11/2021 ambapo kazi zilizofanyika ni usafishaji wa eneo, ujenzi wa jengo na upakaji rangi kwa ndani. Wananchi wamechangia Tshs.635,000. Kiasi cha Tshs.79,998,650 kimetumika ambapo gharama za vifaa ni Tshs.65,798,650 na gharama za ufundi ni Tshs.14,200,000 na salio ni Tshs.1,350.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa