• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WAHIMIZWA KUTUMIA VIZURI SOKO LA UJIRANI MWEMA LA NYABIBUYE.

Imetumwa: March 9th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndugu Ndaki S. Mhuli amewahimiza Wananchi wa Kata ya Nyabibuye Wilayani Kakonko pamoja na Wananchi wa Nchi jirani ya Burundi kulitumia vizuri Soko ili waweze kunufaika.

Amesema hayo  leo Machi 09, 2023 Wakati alipokaribishwa katika hafla fupi ya kufungua Soko la Ujirani Mwema la Nyabibuye lililopo Mpakani Mwa Burundi na Tanzania katika Kata ya Nyabibuye Wilaya ya Kakonko.

Mkurugenzi Mtendaji ameeleza kuwepo kwa Soko la ujirani Mwema baina ya Nchi jirani ya Burundi na Tanzania kutachochea kukua kwa uchumi wa Mwananchi wa Burundi na Tanzania pamoja na kukua kwa Uchumi wa Nchi zote Mbili.

Aidha amewasisitiza Wananchi wote wenye bidhaa kwa pande zote  mbili za Burundi na Tanzania  kuchangamkia fursa ya kufanya bishara katika soko hilo ili kujiongezea kipato.

Kwa upande mwingine Mkurugenzi Mtendaji ameahidi kupatikana kwa umeme, maji, na kufanya marekebisho ya miundombinu ya milango ya vyoo vya Soko pamoja na barabara na mwisho  amewaruhusu Wananchi wote wa Burundi na Tanzania ndani ya Mwezi mmoja kufanya biashara bila kulipa ushuru.

Amehitimisha kwa kusema Wananchi wote wa Burundi na Tanzania Sisi wote ni ndugu tusifanyiane matendo ya ukatili bali  tupendane.

Fediriko Nzoyisaba Afisa Tarafa ya Mishiha iliyopo Nchini Burundi ameeleza amefurahishwa na kitendo cha kualikwa katika hafla fupi ya ufunguzi wa Soko hilo na kuahidi kutoa ushirikiano wa kutosha katika biashara ili kukuza uhusiano mzuri wa kibiashara na Nchi ya Tanzania.

Aidha Ndugu Fediriko Nzoyisaba ameeleza Tarafa ya Mishiha ilikua haina soko siku ya alhamisi hivyo amefurahi kusikia kwa sasa Wananchi wa Burundi watakua wakifanya biashara zao katika Soko la Ujirani Mwema la Nyabibuye na amewakaribisha Wananchi wa Tanzania kufika katika Masoko ya Mipakani ya Ujirani Mwema ya Burundi kufanya Biashara zao na hakutakua na kikwazo chochote cha kibiashara Wananchi wote watafanya bishara zao kwa amani.

OCD SSP Mohamed M.Mussa ametoa angalizo kwa Wananchi kutofumbia macho vitendo vya uhalifu katika soko hilo bali watoe taarifa za uhalifu kituo cha polisi na kwa viongozi wa Kata.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa