• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WASISITIZWA KUPELEKA WATOTO KUPATA CHANJO YA POLIO.

Imetumwa: November 3rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col. Evance Mallasa amewasisitiza wananchi wote wa Wilaya ya Kakonko kuhakikisha wanajitokeza kuwapeleka watoto wao kupata chanjo ya polio kwani chanjo hiyo ni muhimu kwa watoto wote wenye umri chini ya miaka nane.

Amesema hayo leo Novemba 3, 2023 alipokuwa akizindua zoezi la utoaji wa chanjo ya polio awamu ya pili katika Hospitali ya Wilaya iliyopo Wilayani Kakonko.

Kanali Mallasa amesema zoezi hilo linaenda nyumba kwa nyumba hivyo amewataka wananchi kuwepo majumbani ili kuhakikisha wanawapatia ushirikiano wahudumu wa afya pale wanapowafikia kwa ajili ya kutoa chanjo ili kuhakikisha zoezi hilo linaenda vizuri na kwa muda uliopangwa.

Kanali Mallasa amewapongeza wahudumu wa afya kwa kazi nzuri wanayoifanya na Wilaya itahakikisha inaendelea kutatua changomoto zote zitakazokuwa zinawakabili.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Ndaki Stephano Mhuli ameeleza kuwa  Halmashauri imejipanga kuwafikia watoto wote na kuhakikisha wanapata chanjo kwani wataalamu wa Afya wamejipanga vizuri kuhakikisha zoezi hilo linaenda vizuri.

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Dr.Getera Nyangi, ameeleza kuwa lengo la utoaji wa chanjo ya polio ni kuhakikisha wanatokomeza ugonjwa wa polio katika Wilaya ya Kakonko na taifa kwa ujumla ambapo ameeleza mpaka sasa watoto elfu tatu mia tano (3,500) wameshapatiwa chanjo ikiwa lengo la Wilaya ni kuwafikia watoto elfu themanini na sita na tisini na mbili (86,092).

Ameendelea kusema kuwa mtoto mdogo yupo katika hatari kubwa katika kupata ugonjwa wa polio hivyo amewasisitiza wazazi kuhakikisha wanatoa ushirikiano na kujitokeza kuwapeleka watoto kupata chanjo hiyo.

Mratibu wa Chanjo Wilaya ya Kakonko Planner Erasto, ameeleza kuwa zoezi hili linalofanyika kwa awamu ya pili linalenga kuhakikisha wanawakinga watoto wote dhidi ya ugojwa wa polio.

 Pia Mratibu ameeleza kuwa  wamepokea chanjo laki moja na elfu sita (106,000) ambapo kupitia chanjo hizo wanaamini zinaenda kuwafikia walengwa wote na kufikia lengo walilokusudia ndani ya Wilaya ya Kakonko.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa