• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WATAALAM WA AFYA WASISITIZA WANANCHI KUZINGATIA MATUMIZI YA VYOO BORA.

Imetumwa: May 12th, 2023

Wataalamu wa Afya wemetoa Elimu kwa wananchi wa Kata ya Kanyonza na kuwasisitiza wananchi juu ya utunzaji wa mazingira na kuzingatia matumizi  ya vyoo bora kwani itawasaidia kulinda vyanzo vya maji na kujiepusha na mlipuko wa magonjwa mbalimbali.

Hayo yamesemwa na wataalamu wa afya walipokuwa wakitoa elimu kwa wananchi wa Kata ya Kanyonza iliyopo Wilayani Kakonko Mei 11, 2023 ambapo kupitia elimu hiyo jamii imejifunza namna ya uchafushaji na kusisitizwa kuendelea kuzingatia matumizi ya vyoo bora.

Joshua Joseph, Afisa Afya na Mazingira amesema kuwa lengo la utoaji elimu kwa jamii ni kuhamasisha wananchi na kuhakikisha kila mwananchi anakuwa na uelewa juu ya matumizi sahihi ya vyoo na utunzaji wa mazingira pia kuondoa dhana ya watu kuendelea kujisaidia nje ili kuisaidia jamii kutunza mazingira pia kuhakikisha kila kaya inakuwa na choo.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko, Ndaki Stephano Mhuli amewaomba wananchi kuzingatia elimu waliopewa na wataalamu wa afya pia kuhakikisha wanakuwa na matumizi sahihi ya vyoo hivyo kutojisaidia ovyo na badala yake kutumia vyoo kwani kujisaidia ovyo inaweza kuleta madhara ikiwemo mlipuko wa magonjwa mbalimbali hivyo wajitahidi kutunza vyanzo vya maji na kuzingatia matumizi bora ya vyoo.

Naye Diwani wa Kata ya Kanyonza, Mheshimiwa Alfred Elias amewashukuru wataalamu wa Afya kwa kufika kutoa Elimu kwa wananchi juu ya usafi wa mazingira na matumizi sahihi ya vyoo nakuwaomba wananchi kuzingatia elimu hiyo kwani Wananchi wengi wa kata hiyo hawana vyoo hivyo wajitaidi kuzingatia elimu, ameendelea kusema kama kiongozi ataendelea kuwahamasisha wananchi ili waweze kujenga vyoo na kuvitumia ipasavyo.

Mtendaji wa Kata ya Kanyonza, Donald Lukomanya amewasisitiza wananchi kujenga vyoo  kwani wasipojenga na kuzingatia taratibu zote za afya ili waweze kuepuka magonjwa ya mlipuko, aidha amesema kama kata wamejipanga kuendelea kuhamasisha kwakushirikiana na wataalamu wa afya ili wananchi waweze kujenga vyoo ameendelea kusema hatua za kisheria zitachukuliwa ikiwemo kutozwa faini kwa wale watakaobainika hawana choo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO June 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II June 23, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA KWA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II. June 22, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - WAKUSANYA MAPATO 26 June 21, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WANANCHI WAASWA KUHIFADHI MAZINGIRA NA KUEPUKA MATUMIZI YA VIFUNGASHIO VYA PLASTIKI VINAVYOTUMIKA MARA MOJA.

    June 04, 2025
  • UZINDUZI WA UGAWAJI VYANDARUA KWA WANANCHI WAFANYIKA WILAYANI KAKONKO.

    June 03, 2025
  • PSSSF YARAISISHA HUDUMA KWA WASTAAFU KUPITIA MIFUMO YA KIDIJITALI.

    May 29, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI KAKONKO ROBO YA TATU 2024/2025 LAWEKA MKAZO MAENDELEO, UWAJIBIKAJI NA USHIRIKIANO WA PAMOJA.

    May 21, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa