• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Wazazi wahimizwa kuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto

Imetumwa: June 17th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewaasa wazazi na walezi kuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto katika jamii inayowazunguka na watoto kutoa taarifa mapema wanapofanyiwa ukatili.

Akiwakilishwa na Kaimu Katibu Tawala Wilaya ya Kakonko ndugu Amani Alexander katika maadhimisho ya siku ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika kiwilaya katika katika uwanja wa shule ya msingi Maendeleo mwishoni mwa wiki tarehe 16 Juni, 2022 amebainisha kuwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto ni pamoja na ukatili wa kijinsia, kingono, kielimu, kisaikolojia na ndoa za utotoni.

“Ndugu zangu takwimu za kituo cha simu ya huduma ya mtoto zinaonyesha watoto wanapitia vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia, vipigo kutoka kwa wazazi, walezi na walimu, kubakwa, kulawitiwa, mimba na ndoa za utotoni pia wanatumikishwa katika kazi zisizoendana na umri wao na hata kukosa haki zao za elimu”, alieleza ndugu Alexander Alex.

Akitoa historia ya chimbuko la kuwepo siku ya mtoto wa afrika, Anastazia Maulid mwanafunzi anayesoma  katika shule ya msingi Kakonko na kufanya Sanaa katika kikundi cha vijana Kakonko (At youth Group Kakonko) ameeleza kuwa Watoto wa afrika waliandamana kudai haki zao mbele ya wazungu lakini Watoto hao waliuwawa na wazungu hao kikatili hivyo Watoto wana haki na wanatakiwa kupendwa na kuishi.

Diwani wa Kata ya Kakonko Mhe. Augustino Linze alieleza siku ya mtoto wa afrika ni ya wazazi kukumbushana namna ya kuwalea watoto kwani bila watoto kuwepo hakuna taifa.  

Akitoa utekelezaji wa shughuli zakumlinda mtoto kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Aprili 2022 afisa Maendeleo ya Jamii bwana Stephen Mabuga alieleza kuwa Halmashauri kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo zikiwemo taasisi binafsi na mashirika ya kimataifa wamekuwa wakifanya jitihada kuhakikisha haki za mtoto zinalindwa na ulinzi kwa mtoto unakuwepo shughuli mbalimbali zimefanyika ikiwemo kutoa elimu ya kupinga ukatili dhidi ya mtoto imetolewa kwa kata tatu ambazo ni Mugunzu, Kakonko na Kasanda ambapo shule za msingi 11 zimefikiwa na watu 6513 wamefikiwa.

Miongoni mwa Walioshiriki katika maadhimisho hayo ni Shirika la World Vision ambao ndio wadhamini, Mkurugenzi mtendaji, Wasaidizi wa Sheria (Washeka), Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya, Madiwani, Walimu, Viongozi wa dini Wanafunzi na wazazi.

Siku ya Mtoto wa Afrika huadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 16 Juni huku tukikumbuka matendo ya ukatili yaliyofanywa kwa Watoto huko Soweto nchini Afrika Kusini na mwaka 2022 Kauli mbiu inasema,

 “Tuimalishe Ulinzi wa Mtoto, Tutokomeze Ukatili dhidi yake, Jiandae kuhesabiwa”.

Matangazo

  • 94.16% ya WATUMISHI 107 WALIOPANGIWA KURIPOTI TAYARI WAMERIPOTI WILAYANI KAKONKO July 09, 2022
  • WATUMISHI WOTE WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO NA WAZABUNI WANATANGAZIWA KUFIKA HALMASHAURI KUHAKIKI MADENI YAO YA MWAKA 2021/2022 July 05, 2022
  • TANGAZO LA KUTUMA MAOMBI YA KUJITOLEA KUKIMBIZA MWENGE WA UHURU KATIKA WILAYA YA KAKONKO MWAKA 2022 July 06, 2022
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MAGARI CHAKAVU KWA NJIA YA MNADA July 23, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Balozi wa Pamba Tanzania aagiza kampuni iliyonunua pamba kwa mkopo kulipa fedha hizo

    July 31, 2022
  • Wanafunzi wenye mahitaji maalum wang'ara kwenye mashindano

    July 05, 2022
  • WATUMISHI WAPYA 107 WA KADA YA ELIMU NA AFYA WATAKIWA KURIPOTI KWA WAKATI

    July 03, 2022
  • Wazazi wahimizwa kuwa mstari wa mbele kukemea vitendo vya ukatili dhidi ya watoto

    June 17, 2022
  • Tazama zote

Video

WATUMISHI KAKONKO WAMPONGEZA MHE.RAIS SAMIA KWA KUONGEZA MISHAHARA
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • Pakua hati yako ya malipo ya mshahara Hapa "Utumishi Portal"
  • Halmashauri ya nunua lori na kukabidhi pikipiki 14 kwa Watendaji wa Kata

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa