• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WILAYA YA KAKONKO YAHIMIZWA KUANDIKISHA WATOTO WA MIAKA 9-15 KWA UFANISI ILI KUJIONDOA KATIKA MEMKWA.

Imetumwa: March 21st, 2023

Wawezeshaji wa Vituo vya MEMKWA wamehimizwa kufanya vizuri zoezi la uandikishaji wa watoto wasiosoma shule wenye umri wa miaka 09-15 ili kujiondoa katika mpango wa MEMKWA.

Hayo yamesemwa na Mgeni rasmi wa Mafunzo Ndugu Amani Alexander Kanguye Kaimu katibu Tawala (W) ya Kakonko wakati alipokaribishwa kufungua Mafunzo ya Wawezeshaji wa Vituo vya MEMKWA yatakayodumu siku tano (5) kuanzia  Machi 20 -24, 2023,  yanayofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri.

 “Wilaya ya Kakonko tunatarajia iwe ni Wilaya ambayo itakua kinara kwa Mkoa wetu wa Kigoma na ikiwezekana Mkoa wa Kigoma uwe ndio kinara katika zoezi la uandikishaji wa watoto wasiosoma Shule wenye umri wa miaka 09-15 kwa mikoa mitatu iliyobainishwa  ili kujiondoa katika takwimu za MEMKWA, Hivyo washiriki wazingatie wanayofundishwa ili  kasi ya  uandikishaji iongezeke, alieeleza  Mgeni rasmi. 

 

Mwezeshaji wa Mafunzo kutoka Taasisi ya Elimu ya Watu wazima Dar es Salaam, Ndugu Chediel Mlavi  ameeleza  lengo la mradi wa MEMKWA ni kuongeza uandikishaji, kuondoa watoto ambao hawako Shuleni, kubuni mbinu zitakazowezesha darasa endelevu la MEMKWA kuwa endelevu, kufundisha Stadi za kusoma, kuhesabu na kuandika pamoja na kuboresha Stadi za maisha kama ujasiliamali ili kuchangia maendeleo ya Jamii.

Aidha amesema  Elimu ya MEMKWA yaani mpango wa Elimu kwa Watoto Walioikosa hutolewa kwa kundi rika la vijana wenye umri wa Miaka 14-18 na katika programu ya Elimisha Mtoto hutolewa kwa watoto wenye umri wa miaka 09-13 na baadae wanajiunga na mfumo rasmi wa Elimu kuanzia darasa la Nne na la Saba.

 

Hivyo wawezeshaji wa vituo vya MEMKWA wanatakiwa kuhamasisha jamii juu ya umuhimu wa Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto waliokosa (MEMKWA).

Kwa upande wake Afisa Elimu Watu wazima na Elimu Nje ya Mfumo rasmi Ndugu Majaliwa Tryphone amesema kasi ya uandikishaji wa watoto wasiosoma Shule bado ni ndogo hivyo wawezeshaji wahakikishe wanafikia malengo ndani ya muda uliopangwa kwa kufanya zoezi hilo vizuri kwani mpaka sasa watoto walioandikishwa ni 300 kati ya watoto 620 wanaotakiwa kuandikishwa ndani ya mwaka mmoja kwa vituo husika ndani ya Wilaya ya Kakonko.

Washiriki wa Mafunzo hayo ni Pamoja na na Maafisa Elimu Kata, Walimu Wakuu na Walimu Wanaofundisha  Vituo Vya MEMKWA na mafunzo yanafadhiliwa na Shirika la UNICEF.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa