• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA LA MADIWANI KAKONKO LAIDHINISHA BAJETI YA BILIONI 26.8 IKILENGA KUPANDISHA VYEO WATUMISHI 526.

Imetumwa: February 13th, 2025

Baraza la Madiwani Wilayani Kakonko limeidhinisha bajeti ya bilioni 26.8 kutumiwa na Halmashauri kwa mwaka wa fedha 2025/2026 ikilenga kupandisha vyeo watumishi 526,kuajiri watumishi wapya 174, kuwajengea uwezo watumishi na waheshimiwa madiwani, ununuzi wa gari la taka pamoja na kuelekeza 20% ya mapato sawa na milioni 247 kwa shughuli za maendeleo.

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri, Ndaki Stephano Mhuli wakati akiwasilisha bajeti kwa Waheshimiwa Madiwani katika mkutano maalum wa kujadili bajeti ya mwaka 2025/2026 akishirikiana na Afisa Mipango katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri Jana Jumatano, Februari 12, 2025.

Mkurugenzi Mtendaji Ndaki amefafanua kuwa bajeti imelenga kupunguza changamoto ya uhaba wa watumishi kwa sekta ya elimu na Afya hivyo wamelenga kuajiri walimu wa shule za msingi 82 na wahudumu wa afya 43.

Aidha Tshs,752,720,000 zimetengwa kwa ajili ya kuwajengea uwezo watumishi na Waheshimiwa madiwani, Tshs,220,000,000 zimelenga kununua gari la taka ili kuondoka changamoto ya taka na Tshs.247,884,000 ambazo ni 20% ya mapato ya ndani ya Halmashauri zitaelekezwa kwenye miradi ya maendeleo ambapo Tshs.123,942,000.00 zitatumika kutoa mikopo kwa vikundi vya Wanawake, Vijana na Wanawake, Vijana na Watu wenye ulemavu wakati  Tshs.123,942,000.00 zitatumika kujenga vibanda vya biashara katika soko kuu la Kakonko.

Akiwasilisha bajeti kwa niaba ya mkurugenzi mtendaji, Afisa Mipango wa Halmashauri Ndaki Stephano Mhuli ameeleza kuwa Tshs.1,007,738,480 zitatumika kwa ajili ya kupandisha vyeo watumishi 526 kutoka Idara na Vitengo 18 ambapo wengi kati yao ni waalimu wa elimu msingi ambao ni 286, waalimu wa sekondari 82 pamoja na Wataalamu wa Afya 123.

Wawakilishi wa Wananchi kutoka kata 13 za Halmashauri wameoneshwa kuridhishwa na bajeti hiyo wakileleza kuwa imekidhi matarajio yao ya muda mrefu.

Mheshimiwa Augustino Linze, Diwani wa kata ya Kakonko ameshukuru kwa bajeti iliyowekwa kwa Kata ya Kakonko akitolea mfano ununuzi wa gari la taka kwani taka zimekuwa ni kero kwa wakazi wa Kakonko na kueleza kuhusu ujenzi wa shule ya msingi Mbizi ambayo imekuwa ni kilio kikubwa kwa wakazi wa kijiji cha Mbizi.

“Bajeti hii kwa kata ya Gwanumpu itatusaidia kununua mashine ya X- Ray na kujenga wodi ya wanawake wakati kwa sekta ya elimu tuniashukuru Serikali inayoongozwa na Rais Sami Suluhu Hassan kwa kutuwezesha kujenga shule mpya ya Sekondari Bukirilo hivyo kupitia bajeti hii tutajenga madarasa 04 katika shule shikizi itakayoitwa Kitagura ikitokea shule mama ya msingi Bukirilo yenye zaidi ya wanafunzi 1000”, Alieleza Mheshimiwa Toyi Butono, Diwani wa kata ya Gwanumpu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa