• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

CWT Kakonko yatoa mabati kwa wastaafu kwa mara ya kwanza

Imetumwa: February 21st, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Hosea Ndagala amekabidhi mabati 280 kwa wastaafu 14 kwa niaba ya kamati tendaji ya chama cha waalimu wilaya ya Kakonko (CWT) kwa mara ya kwanza tangu chama hicho kuanzishwa.  

Akikabidhi mabati hayo kwa wastaafu katika hafla iliyofanyika katika ofisi za CWT wilayani Kakonko hivi karibuni, mgeni rasmi Col.Hosea amewapongeza wastaafu hao na kuwasisitiza kutumia zawadi waliyopewa kukamilisha nyumba zao au kuanzisha biashara.

“Niwapongeze na kila la kheri kwenda kuanza maisha mapya na mazuri, huu ni mwanzo mzuri kama hujamalizia kibanda kamalizie kama tayari ni vizuri kujenga kibanda cha biashara au kufuga”, alisema mkuu wa wa Wilaya.

Aidha amewasisitiza waalimu kujitoa kwa kuwa sehemu ya mwanafunzi na kuwaomba watumishi wanapokuwa kazini wajiandae kustaafu kwani kustaafu siyo mwisho wa maisha bali ni mwanzo wa maisha mengine uraiani kwani fursa ni nyingi.

Col.Hosea Ndagala amesisitiza changamoto zisikatishe tamaa katika kufanya kazi kwani serikali inatua changamoto moja hadi nyingine na kuomba ushirikiano udumishwe ndani ya chama cha waalimu. Aidha ameomba chama cha waalimu kuendelea kutoa zawadi kwa wastaafu.

Mwenyekiti wa halmashauri mhe.Juma maganga ambaye alikuwa ameambatana na mgeni rasmi alipongeza chama cha waalimu kwa kutoa zawadi kwani kitendo hicho kitawajengea uwezo waalimu ambao wapo kazini wakijua kuwa wataendelea kupata huduma hata baada ya kustaafu.

Hata hivyo mwenyekiti wa chama cha waalimu wilaya ya Kakonko Tumaini Daniel amewaomba waalimu wastaafu kuwakumbusha waalimu waliopo kazini kufanya kazi na kuiomba halmashauri itenge bajeti ya kuwarudisha wanapotoka wastaafu baada ya kustaafu na Halmashauri iwaingize waalimu kwenye bajeti ya 2018/19 ili wapande madaraja kwani kuna waalimu zaidi ya 400 wanaotakiwa kupanda madaraja.

Mwalimu Masuhuko mstaafu aliyekuwa anafundisha shule ya msingi Bukiriro ameleza kufurahishwa na zawadi iliyotolewa na CWT kwa mara ya kwanza na kuahidi kwenda kukamilisha nyumba yake.

Aidha mwalimu Msitu Mninga Lameck mstaafu kutoka shule ya msingi Kabingo Katanga amewasisitiza waalimu wawe na wito wa kufanya kazi na wasipende malipo.

Hafla ya kuwakabidhi mabati 20 kila mstaafu kwa mara ya kwanza imehudhuriwa na Mkuu wa Wilaya ya Kakonko ambaye alikuwa mgeni rasmi Col.Hosea Ndagala, Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Juma Maganga, Afisa Elimu Msingi Wilaya Mwl.Joseph Mutahaba, kamati tendaji ya CWT na waastaafu husika. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa