• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

WANANCHI WAHIMIZWA KUTENGA MAENEO YA KUPANDA MITI NA KUITUNZA.

Imetumwa: November 23rd, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewahimiza Wananchi kutenga maeneo ya kupanda miti kama hifadhi ya misitu na kuitunza ili kuwa chanzo cha mapato kwa Kijiji na Wananchi kwa ujumla. 

Akizindua zoezi la upandaji wa Miti katika Shamba la Kijiji cha Mugunzu, siku ya Jumanne tarehe 22.11.2022, Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko, Kaimu Katibu Tawala Patrick Kechegwa  katika hotuba yake alitoa wito kwa viongozi wote wa Kata na Vijiji kuendelea na kampeni ya upandaji miti katika maeneo yao na kuhakikisha miti iliyopandwa inakuwa na kutunzwa.

“Viongozi wa Kata na Vijiji simamieni vyanzo vya maji kwa kuhakikisha vinatuzwa na kulindwa, Wananchi wasitishe shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 kutoka kwenye vyanzo vya maji kwani hatua za kisheria zitachukuliwa kwa watakaokaidi, Alisema Kechengwa.

Aliongeza kuwa kila kaya ipande na kutunza angalau Miti 10 katika eneo lao, vile vile Taasisi za Serikali, binafsi na Taasisi za dini wapande miti katika maeneo yao”.

Kwa upande wake Meneja wa Shirika la DRC ambalo  limefadhili zoezi la upandaji wa miche,  Alfred Magehema aliwasisitiza wananchi kuhimizana na kushirikiana kwani suala la utunzaji wa Mazingira ni la watu wote.

Aliongeza kuwa Shirika litaendelea kuwekeza katika Mazingira kwa kushirikiana na Serikali na DRC itapanda Miche laki tatu na elfu ishirini (320,000) kama sehemu ya kuunga mkono juhudi za Serikali katika kutunza mazingira.  Kwa sasa Shirika la DRC  lina vitalu vinne vya Miche ndani ya Wilaya ya Kakonko,

Afisa Maliasili Wilaya ya Kakonko Melkizedek Huruma alieleza kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya Serikali, Halmashauri inatakiwa kupanda miche milioni moja na laki tano (1,500,000) katika maeneo mbali mbali ya Vijiji.

Ili kutimiza malengo hayo, Afisa Maliasili alieleza kuwa wamekuwa wakishirikisha Taasisi binafsi, Mashirika na wadau wenye ni njema. Aliendelea kusema kwa sasa kuna miche zaidi ya laki tatu (300,000) kutoka kwenye vitalu vilivyofadhiliwa na Shirika la DRC, vile vile watu binafsi wana miche laki mbili (200,000) hivyo mpaka sasa Wilaya ya Kakonko ina jumla ya miche laki tano (500,000).

Mmoja wa Wananchi walioshiriki zoezi la kupanda miche bwana Baraka alipongeza na kuishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kwa kushirikiana na Shirika la DRC kufanikisha zoezi hilo na kuahidi kuitunza miti hiyo. Aidha aliliomba Shirika la DRC kuendelea  kuwapelekea fursa mbalimbali za miradi katika kata ya Mugunzu.

Wananchi wa Kata ya Mugunzu Wilayani Kakonko wameshiriki zoezi la uzinduzi wa upandaji Miti katika eneo la shamba la Kijiji lililopo kata ya Mugunzu. Zoezi hilo limeendeshwa na Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Kakonko ambaye ni  Kaimu katibu tawala Ndugu Patrick Kechegwa kwa kushirikiana na wafadhili ambao ni Shirika la DRC (Danish Refugee Council).

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa