• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

Ziara ya Kamati ya fedha Robo ya 3

  • Afisa Mipango Michael Faraay akiwasilisha taarifa ya Ujenzi wa Ukumbi wa Mikutano mbele ya wajumbe wa Kamati ya Fedha, Uongzoi na Mipango waliotembelea ujenzi huo eneo la Kanyamfisi tarehe 18 Aprili, 2023.

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Mhe.Fidel Nderego akihoji kuhusiana na maendeleo ya Ujenzi wa Ukumbi wa Halmashauri ambao upo hatua ya msingi na kupandisha nguzo.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndaki Stephano akitoa ufafanuzi kuhusu ujenzi wa Vyoo na ukarabati wa madarasa katika shule ya Sekondari Kashoza iliyopo kata ya Nyabibuye baada ya kamati ya Fedha kufanya ziara shuleni hapo Aprili 18, 2023.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha wakijadiliana kuhusu ujenzi wa vyoo katika shule ya sekondari Kashoza iliyopo kata ya Nyabibuye baada ya kufanya ziara shuleni hapo Aprili 18, 2023.

    Diwani wa kata ya Nyabibuye Mhe.Januari Mbanyi akitoa maelezo ya hatua iliyofikiwa katika ujenzi wa vyoo shule ya sekondari Kashoza kamati ya Fedha ilipotembelea shuleni hapo Aprili 18. 2023.

    Ujenzi wa nyumba ya waalimu (2 in 1) ikiwa katika hatua ya ukamilishaji katika shule ya Sekondari Ndalichako iliyopo kata ya Muhange kwa Gharama ya Tshs.114,683,972.75 kwa nyumba mbili

    Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe.Fidel Nderego akihoji kuhusiana na Ujenzi wa nyumba 2 za waalimu katika shule ya Sekondari Ndalichako iliyopo kata ya Muhange baada ya kamati ya Fedha kufanya ziara shuleni hapo Aprili 18, 2023.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha wakipata maelezo kuhusu ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa katika shule ya msingi Malenge iliyopo kata ya Rugenge iliyogharimu TshsTshs.41,540,000 baada ya kutembelea shuleni hapo Aprili 18, 2023.

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa, kutengenezwa kwa madawati 30, meza 2, viti 2 na kuingiza umeme kwenye madarasa 6 na ofisi moja katika shule ya msingi Malenga iliyopo kata ya Rugenge umekamilika kwa gharama ya Tshs.41,540,000.

    Kamati ya Ujenzi wa Zahanati ya Rusenga iliyopo kata ya Gwanumpu wakitoa maelezo ya hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa wajumbe wa kamati ya Fedha waliofanya ziara Kijijini hapo Aprili 18, 2023.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha wakihoji kuhusiana na hatua ya Utekelezaji wa ujenzi wa Zahanati ya Rusenga iliyopo kata ya Gwanumpu baada ya kutembelea kijijini hapo Aprili 18, 2023.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha wakipata maelezo kuhusiana na Ujenzi wa shule ya Sekondari Katanga iliyopewa Ts470,000,000 na tayari shule hiyo imefunguliwa ikiwa na wanafunzi 120.

    Ndaki S.Mhuli, Mkurugenzi Mtendaji akieleza kuhusiana na Ujenzi wa nyumba mbili za Wakuu wa Idara eneo la Rukenamaguru wakati kamati ya Fedha ilipofanya ziara hapo Aprili 19, 2023.

    Ujenzi wa wodi 3 (Wodi ya Watoto, Wanawake na Wanaume katika hospitali ya Wilaya ukiwa unaendelea kwa gharama ya Tshs.750,000,000

    Kaimu Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Kakonko Dr.Tinuga Cosmas akitoa taarifa ya utekelezaji wa ujenzi wa wodi tatu kwa Wajumbe wa kamati ya Fedha walipotembelea hospitali ya Wilaya iliyopo Kijiji cha Itumbiko, Kata ya Kakonko Aprili 19,2023.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha watembelea kichomea taka katika hospitali ya Wilaya ya Kakonko.

    Wajumbe wa kamati ya Fedha wakipata maelezo kuhusu mashine ya X-ray katika hospitali ya Wilaya ya Kakonko.

    Mkuu wa shule ya Sekondari ya Wasichana Kakonko Anatoria Nkabo akitoa maelezo kuhusu Ujenzi wa bweni la Wasichana unaotekelezwa kwa thamani ya Tsh142,934,332 kupitia ufadhili wa TEA baada ya Kamati ya fedha kutembelea shuleni hapo Aprili 19, 2023.

    Mwenyekiti wa halmashauri Mhe.Fidel Nderego akitoa maelekezo baada ya kupata taarifa ya ujenzi wa bweni la Wasichana katika shule ya Sekondari wasichana Kakonko kamati ya Fedha ilipotembelea hapo Aprili 19, 2023.

    Wajumbe wa Kamati ya Fedha wakikagua Ujenzi wa madarasa 8 katika shule ya Sekondari Wasichana Kakonko walipotembelea Aprili 19, 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa