• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Baruapepe |
Kakonko District Council
Kakonko District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
    • Mawasiliano
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara na Vitengo
      • Idara
        • Usafishaji Na Mazingira
        • Elimu Msingi
        • Elimu ya Sekondari
        • Afya na Ustawi wa Jamii
        • Maji
        • Maendeleo ya Jamii
        • Utumishi na Utawala
        • Fedha na Biashara
        • Maliasili, Ardhi na Mazingira
        • Kilimo cha Umwagiliaji na Ushirika
        • Mifugo na Uvuvi
        • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
        • Ujenzi na Zimamoto
      • Vitengo
        • Ugavi na Manunuzi
        • Tehama na Habari
        • Ukaguzi wa Ndani
        • Ufugaji Nyuki
        • Uchaguzi
        • Sheria
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Livestock
    • Fisheries
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Mipango na Usimamizi
      • Elimu Afya na Maji
      • Huduma za Kiuchumi Ujenzi na Mazingira
      • Udhibiti wa UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
        • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
      • Ratiba ya Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayo tekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Ripoti Mbalimbali
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio

ZIARA YA WAHESHIMIWA MADIWANI JIJINI DODOMA

  • Mwenyekiti wa Halmashauri Fidel Chiza Nderego akifanya utambulisho wa Waheshimiwa madiwani wakati wa ufunguzi wa semina ya Uongozi na Utawala bora Juni 05, 2023.

    Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Abdallah Rajabu Magembe akichangia mada katika mafunzo ya Uongozi Bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo

    Diwani wa Kata ya Gwanumpu Mhe.Toyi Butono akichangia mada katika semina ya mafunzo ya Uongozi na Utawala bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo Dodoma yaliyoanza tarehe 05 hadi 10 Juni, 2023.

    Mafunzo ya Uongozi na Utawala bora yametolewa na Chuo cha Serikali za mItaa cha Hombolo - Dodoma kwa Waheshimiwa Madiwani 19 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kuanzia tarehe 05-10 Juni, 2023.

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko Ndaki Stephano Mhuli akiwa anachangia mada katika semina ya Uongozi na Utawala bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Mbunge wa Jimbo la Buyungu Aloyce John Kamamba akiwa anachangia mada katika semina ya Uongozi na Utawala bora iliyofanyika katika Chuo cha Serikali za mitaa Hombolo Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Diwani wa kata ya Rugenge Medas Mahamile (wa kwanza kushoto), Diwani Viti Maalum Tarafa ya Kasanda Leokadia Ngeze (wa katikati), Diwani Viti maalum Tarafa ya Kakonko Raheli Tanu (wa kwanza kulia) wakiwa wanafuatilia mafunzo katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Diwani Viti Maalum Tarafa ya Kasanda (Evangelistha Chiza wa kwanza kushoto) na Diwani Viti Maalum Tarafa ya Nyaronga Imelida Mathias (wa kwanza kulia) wakiwa katika mafunzo ya Uongozi na Utawala bora yaliyofanyika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma yalifanyika tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Diwani wa Kata ya Kasanda Dickson Barutwa (wa kwanza kushoto) na Diwani wa Kata ya Kiziguzigu Martin Runaku Mpemba wakiwa katika mafunzo ya Uongozi na Utawala bora Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Diwani wa Viti Maalum Tarafa ya Kakonko Hamisa Maulid Nyamaliza (wa kwanza kushoto) na Afisa Mipango Wilaya Michael Faraay (wa kwanza kulia) wakiwa katika mafunzo ya Uongozi na Utawala bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Diwani wa Kata ya Katanga Ezekiel Bikata (wa kwanza kushoto), Diwani wa Kata ya Muhange Ibrahim Katunzi (wa katikati), Afisa Utumishi wa Wilaya Eliaichi Raymond Macha wakiwa katika mafunzo ya Uongozi na Utawala bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Mkufunzi na Wakili wa Serikali, Victor Mwinyipepe akitoa mada kuhusu Historia, uhalali na Sheria za Uendeshaji wa Serikali za Mitaa kwa Waheshimiwa Madiwani 19 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko katika semina ya Uongozi na Utawala bora iliyofanyika kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023 katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma.

    Diwani wa Kata ya Gwanumpu, Toyi Sylivester Butono (wa kwanza kushoto), Diwani wa kata ya Mugunzu, Furaha Nkota (wa katikati) na Diwani wa kata ya Kanyonza, Alfred Elias wakiwa katika mafunzo ya Uongozi na Utawala bora yaliyofanyika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

    Wakufunzi kutoka Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma wakiendesha mafunzo ya Uongozi na Utawala bora kwa Waheshimiwa Madiwani 19 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023 Jijini Dodoma.

    Diwani wa Kata ya Kakonko, Augustino Linze akifuatilia mafunzo ya Uongozi na Utawala bora katika Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023

    Mwakilishi wa Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa Hombolo - Dodoma akifungua mafunzo ya Uongozi na Utawala bora kwa Waheshimiwa Madiwani 19 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kuanzia tarehe 05 - 10 Juni, 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI - WAKUSANYA MAPATO January 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA. June 18, 2024
  • TANGAZO LA MAJINA YA WAOMBAJI NAFASI YA UKUSANYAJI MAPATO WALIOITWA KWENYE USAILI January 23, 2025
  • KUITWA KWENYE USAILI WA VITENDO - WAOMBAJI KAZI YA DEREVA II November 17, 2023
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WAANDISHI WASAIDIZI NA WAENDESHA VIFAA VYA BAYOMETRIKI WASISITIZWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI.

    April 29, 2025
  • UANZISHWAJI WA MFUMO WA UTHIBITI UBORA WA SHULE WATAJWA KUWA CHACHU KATIKA UTATUZI WA CHANGAMOTO ZA KIUTENDAJI..

    April 17, 2025
  • JIMBO LA BUYUNGU LABADILISHWA JINA NA KUITWA JIMBO LA KAKONKO.

    March 13, 2025
  • MHE.KAMAMBA AWAKUMBUSHA WATUMISHI KUWEKEZA KATIKA KILIMO NA BIASHARA PAMOJA NA KUJIENDELEZA KIELIMU.

    March 03, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi afafanua mikakati ya kuendeleza zao la parachichi ikiwemo kugawa mashamba kwa wananchi.
Video Zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Tangazo la Nafasi za Kazi za Watendaji
  • Ukaguzi wa Miradi Kakonko
  • Lori jipya la Halmashauri laongeza kasi ya utekelezaji Miradi ikiwemo mradi wa Ufyatuaji tofali
  • TASAF kuibua ajira Kakonko
  • Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko - FACEBOOK account
  • Habari motomoto za magazeti kila siku
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA KAKONKO- INSTAGRAM ACCOUNT
  • WANAFUNZI WILAYA YA KAKONKO WALIOPANGIWA SHULE KIDATO CHA KWANZA
  • MATOKEO YA WANAFUNZI WA DARASA LA NNE WILAYA YA KAKONKO 2022

Viunganishi linganifu

  • Poralg
  • Public Service Management and Good governance
  • Necta
  • Tanzania portal
  • Kigoma Region Website
  • Tangazo la nafasi za kazi
  • Matokeo kidato cha nne 2018/2019 haya hapa
  • Balozi wa Norway akabidhi vifaa vya mifugo kakonko
  • Bunge la Tanzania
  • kakonko tv
  • Mapinduzi sekta ya elimu Kakonko
  • halmashauri ya wilaya ya kakonko - habari na mawasiliano
  • MATOKEO YA MTIHANI KIDATO CHA 2 MWAKA 2022

Waliotembelea tovuti

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 3

    Simu: +255(028) 2988881

    Simu ya Mkononi: +255(028) 2988881

    Barua Pepe: ded@kakonkodc.go.tz

Mawasiliano

   

Waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma
    • Kanusho

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa