Imetumwa: October 25th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewataka wahitimu 134 waliofuzu mafunzo ya mgambo kwa mwaka 2022 kutumia mafunzo hayo kwa manufaa ya nchi na kujiepusha na vitendo vya uhalifu.
...
Imetumwa: October 20th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amewahimiza Wananchi wa Wilaya ya Kakonko kuwawekea hereni mifugo kabla ya tarehe 31 Oktoba, 2022 ambayo ndio mwisho wa zoezi hilo.
Col.M...
Imetumwa: October 20th, 2022
Wilaya ya Kakonko yapokea tani 64 za mbolea ya Ruzuku kwa ajili ya kugawa kwa wakulima ambao tayari wamejiandikisha kwenye mfumo.
Akitoa taarifa hiyo katika kikao cha tathmini ya mbio za M...