Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amepongeza Rais wa Kenya aliyechaguliwa William Ruto na kuwapongeza wakenya kwa kuendesha uchaguzi wa Amani kwa mwaka 2022.
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko wamempongeza na kumshukuru Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza mishahara kwa 23.3% na kuboresha posho hali ambayo imeleta unafuu wa maisha.
Matokeo ya mtihani wa kidato cha sita 2022 yametoka na shule 10 bora zimetangazwa tafadhali fungua video kupata taarifa zaidi.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa