Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka wakurugenzi wote kutoa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee ndani ya miezi mitatu na kueleza kuwa serikali inakusuadia kupeleka muswada bungeni kutunga sheria ya kuadhibu wanaowatesa wazee na familia kutakiwa kuwatunza wazee.
Waziri wa TAMISEMI George Simbachawene amejiuzulu kufuatia hotuba ya Rais John Magufuli kuhusiana na viongozi waliotajwa katika sakata la madini.
Rais John Magufuli amefanya ziara wilayani Kakonko na kuweka jiwe la msingi ujenzi barabara ya lami ya Nyakanazi Kabingo
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa