Lengo Afisa nyuki kutumia pikipiki hiyo katika shughuli za kuongeza mnyororo wa thamani kwa ufugaji wa nyuki Wilaya ya Kakonko.
TARURA yaahidi kurudi kufanya tathmini ya barabara kufikia Oktoba, 2023. RUWASA nao waahidi kurudi kufanya tathmini ya miundo mbinu ya maji.
Halmashauri imejenga madarasa 6 na nyumba 2 za waalimu 2 in 1, Mkurugenzi aahidi kuendelea kuboresha miundo mbinu ya shule ya msingi Nyakivyiru.
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa