Serikali yatoa vifaa kwa ajili ya soko la Madini Kakonko hivyo kusababisha delaer mpya kupatikana na ununuzi wa dhahabu kuanza.
Mkurugenzi Mtendaji Ndaki S.Mhuli ametembelea ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Kakonko na kusisitiza ujenzi ukamilike haraka ili huduma zianze kutolewa hivi karibuni.
Mkuu wa Wilaya ya Kakonko Col.Evance Mallasa amezindua rasmi zoezi la uwekaji anuani za Makazi Wilayani Kakono siku ya Ijumaa tarehe 18.03.2022
Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko. Haki zote zimehifadhiwa